Pure Mathematics
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 174
- 52
Habari za muda huu wungwana.. Kuna msichana ambae tuna urafiki wa karibu (sio wapenzi) ila kwa ukaribu wetu baadhi ya watu wanahisi tunagegedana. Ni msichana ambae anapenda kujirusha..it happened siku hiyo ameenda club akiwa na mvulana ambae alishawahi kumtongoza (ila hakuwahi kumkubali).. Katika kunywa yasemekana aliwekewa dawa ambazo zilimlevya and she was unconscious.. Yule boy akatumia hiyo opportunity akakokotana nae hadi kunako ghetto na akasex nae bila ridhaa, ndipo mimba ilipotungwa.. Akiwa kama rafiki yangu nilishawahi kumshauri ajitahidi kutopata unplanned pregnant kwa kutumia njia zote (including calendar) but sio vidhibiti mimba (coz I know madhara).. Nikamsisitiza if it happen akapata mimba, asithubutu kufanya abortion (coz binafsi inaniuma sana nikisikia mtu kafanya abortion--kuua kiumbe kisicho na hatia).. Sasa amenisimulia mkasa mzima na ameniambia she hate that boy na asingependa ajulikane kwa wazazi, ndugu wala jamaa zake.. Kwa kuwa kila mimba ina baba, lazima ataulizwa aliemtia mimba, kitu ambacho yaye hataki coz hampendi huyo kijana.. So amekuja kuniambia ataitoa hiyo mimba, maisha yaendelee, hataki kuwakwaza wazazi na ndugu zake..if its mistake ameshafanya!!! Last word ameniambia kama natetea uhai wa hicho kiumbe nikubali kubebeshwa huo mzigo but she keep the secret coz hajamwambia huyo kijana kuhusu mimba.. Kuhusu matunzo anajua jinsi ya kustrugle.. So naomba ushauri wenu wanabodi, nikubali kuwa artificial father ili ninusuru uhai wa hicho kiumbe au nikung'ute mavumbi---(niache wafu wazike wafu wao)--its a 1 month pregnancy--------------------------------------------------------------------------NB: THIS IS A TRUE STORY