jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
- Thread starter
- #41
Hapo kitakachokusumbueni ni tamaduni sababu mnatoka kwenye tamaduni mbili tofauti mbali ya hapo sidhani kama kuna tatizo mbali na tofauti za kibinadamu amabazo hata kwa mtanzania mwenzako utakutana nazo
harufu nashukuru sana.