Kuoana kuna vizuizi, chunguzaneni kabla ya kupendana

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,304
Habari zenu Wakuu.

Kwenye pitapita zangu JF nikakuta na Uzi kuna dada analalamika kuwa Uchumba na mume mtarajiwa kuelekea ndoa unakizuizi cha Dhehebu la Dini.

Aisee! Ukiusoma ule uzi utaona ni jinsi gani yule dada anampenda mume mtarajiwa lakini imani ndio huenda ikafanya wakavunja uchumba, maana jamaa kakataa kabisa kubadili dhehebu lake na dada kagoma japo katoa option ya ndoa ya serikali ambayo ilikataliwa na jamaa.

Nikiangalia hii inshu inanifanya nijiulize maswali mengi ambayo siwezi kujijibu, maswali yenyewe ni haya yafuatayo;

1) Itakuaje kama huyu dada akiolewa na mtu mwengine wa dhehebu lake na ilhali bado anampenda jamaa alievunja nae uchumba kwasababu ya Dini?

2) Huyu dada atakuwa na upendo wa kweli kwa jamaa atakae muoa ambae yupo dhehebu moja?

3) Wenza wapya wataooana nao ikitokea wanakasoro, je watajilaumu kuachana kwao?

4) Ndoa zao mpya baada ya kuvunja uchumba zitakuwa na muunganiko wa upendo au ndio ni bora liende tu?

Ushauri wangu
Vijana wenzangu kabla hamjapendana hakikisheni mnaongea future zenu mapema ili kuepusha kupotezeana Muda na kuvunja Uchumba.

NB: Kwa maelezo ya dada ni kwamba wamedumu kwenye uchumba kwa miaka 6.
 
Habari zenu Wakuu.

Kwenye pitapita zangu JF nikakuta na Uzi kuna dada analalamika kuwa Uchumba na mume mtarajiwa kuelekea ndoa unakizuizi cha Dhehebu la Dini.

Aisee! Ukiusoma ule uzi utaona ni jinsi gani yule dada anampenda mume mtarajiwa lakini imani ndio huenda ikafanya wakavunja uchumba, maana jamaa kakataa kabisa kubadili dhehebu lake na dada kagoma japo katoa option ya ndoa ya serikali ambayo ilikataliwa na jamaa.

Nikiangalia hii inshu inanifanya nijiulize maswali mengi ambayo siwezi kujijibu, maswali yenyewe ni haya yafuatayo;

1) Itakuaje kama huyu dada akiolewa na mtu mwengine wa dhehebu lake na ilhali bado anampenda jamaa alievunja nae uchumba kwasababu ya Dini?

2) Huyu dada atakuwa na upendo wa kweli kwa jamaa atakae muoa ambae yupo dhehebu moja?

3) Wenza wapya wataooana nao ikitokea wanakasoro, je watajilaumu kuachana kwao?

4) Ndoa zao mpya baada ya kuvunja uchumba zitakuwa na muunganiko wa upendo au ndio ni bora liende tu?

Ushauri wangu
Vijana wenzangu kabla hamjapendana hakikisheni mnaongea future zenu mapema ili kuepusha kupotezeana Muda na kuvunja Uchumba.

NB: Kwa maelezo ya dada ni kwamba wamedumu kwenye uchumba kwa miaka 6.
Miaka 6???
 
Habari zenu Wakuu.

Kwenye pitapita zangu JF nikakuta na Uzi kuna dada analalamika kuwa Uchumba na mume mtarajiwa kuelekea ndoa unakizuizi cha Dhehebu la Dini.

Aisee! Ukiusoma ule uzi utaona ni jinsi gani yule dada anampenda mume mtarajiwa lakini imani ndio huenda ikafanya wakavunja uchumba, maana jamaa kakataa kabisa kubadili dhehebu lake na dada kagoma japo katoa option ya ndoa ya serikali ambayo ilikataliwa na jamaa.

Nikiangalia hii inshu inanifanya nijiulize maswali mengi ambayo siwezi kujijibu, maswali yenyewe ni haya yafuatayo;
Naomba nikujibu haya maswali mojamoja na umakinike
1) Itakuaje kama huyu dada akiolewa na mtu mwengine wa dhehebu lake na ilhali bado anampenda jamaa alievunja nae uchumba kwasababu ya Dini?
Upendo hauko maramoja kwenye maisha kwamba utamoenda mmoja tu Duniani then Basi, kwakifupi tu huyo mwanamke unayemsema ni 90% kashapitia mahusiano zaidi ya sita na katika hayo yote watano kati yao aliwapenda na wakaachan na still aka fall in love kwa mwwngine.
2) Huyu dada atakuwa na upendo wa kweli kwa jamaa atakae muoa ambae yupo dhehebu moja?
Kwanini unadhani kuwa jamaa wa dhehebu moja ataoa tu bila kuanza ku-date Kama jamaa aliyepita, umetengeneza hoja as if huyo mwanamke akitoka Happ moja kwa moja anaenda olewa na wa dhehebu moja What this huyo wa dhehebu moja anashida Sana ya mke.

Shortly, jamaa wa dhehebu moja atajenganae mahusiano kwanza ambayo yatafanya amoende kumbuka huyo aliyevunjanae uhusiano hakumoenda wakati akitongezwa bali upendo umejengwa na moment wakiwa kwenye mahusiano so Circle goes on.
3) Wenza wapya wataooana nao ikitokea wanakasoro, je watajilaumu kuachana kwao?
Kasoro gani, jibu yes Kama kasoro solution yake kuachana mfano mwanaume asimamishi, Jibu Noo ikiwa kasoro ya kuvumilika.

Kuwa dhehebu tofauti ni factor ya kuachana pia kasoro ni factor inayojitegemea hizi ni factor tofauti haziingiliani.

Pia kwanini uhoji kasoro jua wataanza ku-date kwanza Kama nilivyoandika juu pia hata aliyevunjanae uhusiano anaweza kuwa na kasoro pia si wote binadamu.
4) Ndoa zao mpya baada ya kuvunja uchumba zitakuwa na muunganiko wa upendo au ndio ni bora liende tu?
Hili nishajibu juu Kama aliyeachana nae alikuwa na uoendonae kwanini huyo mpya asiwe na upendo nae...Upendo unahifadhiwa kwenye MIND na MIND ipo free na inakuwa trained haijaandikwa jina la mtu kwenye MIND kwamba Juma tu utamoenda Juma.
Ushauri wangu
Vijana wenzangu kabla hamjapendana hakikisheni mnaongea future zenu mapema ili kuepusha kupotezeana Muda na kuvunja Uchumba.
Hili haliwezekani kamwe, ni katika hatua gani za mahusiano ukisema kabla hamjapendana unazungumzia stage ya kutongoza kwahio imagine unaenda mtongoza mwanamke unamwambia
1/Mimi ninataka kukuoa
2/Sioi dini tofauti
3/kwetu hatuoi wachaga
4/nakutaka ila sioi wabonge
5/nakuta Sina Ajira

Impossible, first attempt ya mwanaume ni kumwambia mwanamke anamtaka...tu huwezi jadiri future, wakati wakutongoza mwanamke hauko moyoni mwake wewe kwake ni mtu tu mujadiri future kila mwanamke atakuona tahira, future inajadiriwa mukiwa tiali misha date na kupendana baadae.

Jukumu lako Kama mwanaume kwenye future ni kuhakikisha unamlenga mwanamke mwenye sifa zote za wewe kuoa then inabakia kwake mwanamke ku-prove kuwa anafaa tu aki prove ndio unamwambia future yako kwake akikibali unaoa, future after love.
NB: Kwa maelezo ya dada ni kwamba wamedumu kwenye uchumba kwa miaka 6.
Kudumu kwenye uchumba miaka sita wakati munajijua Dini tufauti ni kutokujielewa na kujipotezea muda, Yes Kuna watu dini tofauti wamewai oana ila pia Kuna watu dini tofauti walivunja mahusiano so mahusiano yaaikutie upofu ukapoteza muda.
 
Mapenzi ndio dini yenyewe sasa
Wewwt ni dini gani, Dini ni msingi wa maisha uliowekwa na mungu na katika msingi huo mahusiano/ndoa ni moja kati ya vitu vingi vilivyomo na kuelezwa kwenye msingi huo wa maisha, kwaufupi mahusiano yapo ndani ya Dini, inaanza dini ndio yanafuata mahusiano.

Kwa mtu aliye na imani na dini kwanza anaangalia dini imeongoza nini kwenye mahusiank ndipo anafuata kwenye mahusiano yake Mfano pale juu jamaa kakataa kubadili dini lakini pia kakataa ndoa ya kiserikali kwasababu kidini yake hakuna ndoa ya kiseriakali hata akioa kwa hio ndoa bado ataheaabika mdhinifu...huu ni mfano mzuri wa nilichoeleza juu.

Hivyo kwa hoja uliyoandika Ninawasiwasi na imani yako kwenye dini yako.
 
Habari zenu Wakuu.

Kwenye pitapita zangu JF nikakuta na Uzi kuna dada analalamika kuwa Uchumba na mume mtarajiwa kuelekea ndoa unakizuizi cha Dhehebu la Dini.

Aisee! Ukiusoma ule uzi utaona ni jinsi gani yule dada anampenda mume mtarajiwa lakini imani ndio huenda ikafanya wakavunja uchumba, maana jamaa kakataa kabisa kubadili dhehebu lake na dada kagoma japo katoa option ya ndoa ya serikali ambayo ilikataliwa na jamaa.

Nikiangalia hii inshu inanifanya nijiulize maswali mengi ambayo siwezi kujijibu, maswali yenyewe ni haya yafuatayo;

1) Itakuaje kama huyu dada akiolewa na mtu mwengine wa dhehebu lake na ilhali bado anampenda jamaa alievunja nae uchumba kwasababu ya Dini?

2) Huyu dada atakuwa na upendo wa kweli kwa jamaa atakae muoa ambae yupo dhehebu moja?

3) Wenza wapya wataooana nao ikitokea wanakasoro, je watajilaumu kuachana kwao?

4) Ndoa zao mpya baada ya kuvunja uchumba zitakuwa na muunganiko wa upendo au ndio ni bora liende tu?

Ushauri wangu
Vijana wenzangu kabla hamjapendana hakikisheni mnaongea future zenu mapema ili kuepusha kupotezeana Muda na kuvunja Uchumba.

NB: Kwa maelezo ya dada ni kwamba wamedumu kwenye uchumba kwa miaka 6.
NDOA ni spiritual. Hakuna kitu mbaya kabisa kama kufungiwa nira na mtu isivyo sawasawa. Majuto yake ni mpaka unafukiwa.
 
Naomba nikujibu haya maswali mojamoja na umakinike

Upendo hauko maramoja kwenye maisha kwamba utamoenda mmoja tu Duniani then Basi, kwakifupi tu huyo mwanamke unayemsema ni 90% kashapitia mahusiano zaidi ya sita na katika hayo yote watano kati yao aliwapenda na wakaachan na still aka fall in love kwa mwwngine.

Kwanini unadhani kuwa jamaa wa dhehebu moja ataoa tu bila kuanza ku-date Kama jamaa aliyepita, umetengeneza hoja as if huyo mwanamke akitoka Happ moja kwa moja anaenda olewa na wa dhehebu moja What this huyo wa dhehebu moja anashida Sana ya mke.

Shortly, jamaa wa dhehebu moja atajenganae mahusiano kwanza ambayo yatafanya amoende kumbuka huyo aliyevunjanae uhusiano hakumoenda wakati akitongezwa bali upendo umejengwa na moment wakiwa kwenye mahusiano so Circle goes on.

Kasoro gani, jibu yes Kama kasoro solution yake kuachana mfano mwanaume asimamishi, Jibu Noo ikiwa kasoro ya kuvumilika.

Kuwa dhehebu tofauti ni factor ya kuachana pia kasoro ni factor inayojitegemea hizi ni factor tofauti haziingiliani.

Pia kwanini uhoji kasoro jua wataanza ku-date kwanza Kama nilivyoandika juu pia hata aliyevunjanae uhusiano anaweza kuwa na kasoro pia si wote binadamu.

Hili nishajibu juu Kama aliyeachana nae alikuwa na uoendonae kwanini huyo mpya asiwe na upendo nae...Upendo unahifadhiwa kwenye MIND na MIND ipo free na inakuwa trained haijaandikwa jina la mtu kwenye MIND kwamba Juma tu utamoenda Juma.

Hili haliwezekani kamwe, ni katika hatua gani za mahusiano ukisema kabla hamjapendana unazungumzia stage ya kutongoza kwahio imagine unaenda mtongoza mwanamke unamwambia
1/Mimi ninataka kukuoa
2/Sioi dini tofauti
3/kwetu hatuoi wachaga
4/nakutaka ila sioi wabonge
5/nakuta Sina Ajira

Impossible, first attempt ya mwanaume ni kumwambia mwanamke anamtaka...tu huwezi jadiri future, wakati wakutongoza mwanamke hauko moyoni mwake wewe kwake ni mtu tu mujadiri future kila mwanamke atakuona tahira, future inajadiriwa mukiwa tiali misha date na kupendana baadae.

Jukumu lako Kama mwanaume kwenye future ni kuhakikisha unamlenga mwanamke mwenye sifa zote za wewe kuoa then inabakia kwake mwanamke ku-prove kuwa anafaa tu aki prove ndio unamwambia future yako kwake akikibali unaoa, future after love.

Kudumu kwenye uchumba miaka sita wakati munajijua Dini tufauti ni kutokujielewa na kujipotezea muda, Yes Kuna watu dini tofauti wamewai oana ila pia Kuna watu dini tofauti walivunja mahusiano so mahusiano yaaikutie upofu ukapoteza muda.
Umejaribu kunijibu lakini ukweli ni kwamba, sio rahisi kama unavyodhani Mkuu.

Maswali yanaweza kujibiwa mwanzoni tu, ni sawa na Mwanaume/Mwanamke kumuuliza mpenzi ana mtoto au la ili ajue anachukua uamuzi gani Kwenye hilo penz.
 
kuna namna ilikua hautumii nguvu kujielezea lugha ya mapenzi, alikua hatua moja mbele karibu kwenye kila nilichopenda… wote ni wafia dini zimebaki kumbukumbu tu
 
Back
Top Bottom