Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Mheshimiwa kama utapita kwenye huu uzi....!! NAKUOMBA UZIDISHE KUKAZA TU HAKUNA NAMNA

#krav_maga
 
Hakikisha toka first semester unapiga A masomo yote..utaniletea mrejesho
 
Nawauliza wazee wa chuo Kiki gani inaweza kunipeleka nikawa talk of the collage nikiwa nasubiria loan breakdown na first batch ya kupangiwa chuo ninaumiza kichwa ni vip naweza nikawa habar ya mjin advance nilikuwa na crew ya mabishoo boys 3 na dem moja tukawa Muda wote tuna hangout pmj ikawa crew famous japo maticha walikuwa wanoko Lengo langu ni Kuwa star nipen mbnu wanangu Ambao mshatia mizizi chuo km pamba zipo Sina waswas bado PC tu nikamilishe ushaurini wenu Wana

Wa kishua

Acha upuuzi ustaa wako ni performance yako
 
Katika welcome first year jiweke mbele then chukua mademu ya miaka waliokutangulia kisha gombea uongoz hapo chuo kama una talent yoyote iyonyeshe utakua Star
 
Nawauliza wazee wa chuo Kiki gani inaweza kunipeleka nikawa talk of the collage nikiwa nasubiria loan breakdown na first batch ya kupangiwa chuo ninaumiza kichwa ni vip naweza nikawa habar ya mjin advance nilikuwa na crew ya mabishoo boys 3 na dem moja tukawa Muda wote tuna hangout pmj ikawa crew famous japo maticha walikuwa wanoko Lengo langu ni Kuwa star nipen mbnu wanangu Ambao mshatia mizizi chuo km pamba zipo Sina waswas bado PC tu nikamilishe ushaurini wenu Wana

Wa kishua

Tengeneza porn video ukifumuliwa marinda
Then sambaza kwa ma grp ya whtsp utakuwa bonge la celeb

Nakutakia utekelezaji mwema
 
Nawauliza wazee wa chuo Kiki gani inaweza kunipeleka nikawa talk of the collage nikiwa nasubiria loan breakdown na first batch ya kupangiwa chuo ninaumiza kichwa ni vip naweza nikawa habar ya mjin advance nilikuwa na crew ya mabishoo boys 3 na dem moja tukawa Muda wote tuna hangout pmj ikawa crew famous japo maticha walikuwa wanoko Lengo langu ni Kuwa star nipen mbnu wanangu Ambao mshatia mizizi chuo km pamba zipo Sina waswas bado PC tu nikamilishe ushaurini wenu Wana

Wa kishua
Pata 40% course work na 60% UE kwa masomo yote ie100%overall mark
 
Simple sana. Fanya hivi....

1. Ongea na mzee wako akununulie printer ndogo tu. Anzisha biashara ya printing room kwako weka matangazo sehem za makutano weka na simu yako tena shusha bei. Mfano kama stationery wanaprint 500@page we printi kwa 100@page. Chuo kizima watakujua assignment zikianza.

2. Kama #1 hapo juu itashindikana kwasababu ya hali ya uchumi bas vitu kama heater, jagi la umeme, pasi, TV na Decoder (DSTv) hua vinapaisha kama sio chuo bas angalau utafahamika na "block" nzima.

3. Bishana na mwalim class siku za mwanzo mwanzo tu. Hiyo itakupa sifa darasan kwako afu watakuona kichwa sana na utang'oa dem mkal zaid class coz atajihakikishia kwamba atapata msaada wa kimasomo

4. Nenda uwe hardcore uso wa mbuzi hakuna kuremba. Uwe mtu wa matisheti ya BobMarley na mgongoni mfuko wa "mjani wa bange" kila uendako. Jifanye rasi flan....utajulikana hadi na VC Admin

Kila la kheri mdogoangu.

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Ukitaka umaarufu wenye faida we piga GPA ya 5.0 kuanzia first year.
Ukimaliza chuo hutatembeza bahasha sana kama wenzako.

Mengine ni upuuzi tu mara pamba, pombe n mademu ni upuuzi na kupoteza muda
 
Kila litakalo tokea chuo wewe jihusishe alafu wala usijikite kwenye kusoma zikitokea bash wewe kuwa kipaumbele sijui after pens down wewe nenda kipindi kikiwa saa3 wee nenda masaa matano baadae alafu kikubwa zaidi SUP zako 3 au 4 iv unakuwa bonge la star kwa DISCO flani ivi
 
We pata Sup kma tano ivi, alafu chomoa moja bebaa nne, next year pata sup 3....! 4+3=7
Kishaaa chomoaa zoote. Utakua mfalme wa chuo sio star pekeee.
 
Back
Top Bottom