Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Nawauliza wazee wa chuo Kiki gani inaweza kunipeleka nikawa talk of the collage nikiwa nasubiria loan breakdown na first batch ya kupangiwa chuo ninaumiza kichwa ni vip naweza nikawa habar ya mjin advance nilikuwa na crew ya mabishoo boys 3 na dem moja tukawa Muda wote tuna hangout pmj ikawa crew famous japo maticha walikuwa wanoko Lengo langu ni Kuwa star nipen mbnu wanangu Ambao mshatia mizizi chuo km pamba zipo Sina waswas bado PC tu nikamilishe ushaurini wenu Wana

Wa kishua
Ukifika tu chuo we volunteer kua class rep halafu kuna associations we kua mstari wa mbele kwenye kutoa constructive ideas watakuchagua kiongozi then from there organize events na uwe smart in delivering.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika welcome first year jiweke mbele then chukua mademu ya miaka waliokutangulia kisha gombea uongoz hapo chuo kama una talent yoyote iyonyeshe utakua Star
Poa bro nimekukubali

Wa kishua
 
Simple sana. Fanya hivi....

1. Ongea na mzee wako akununulie printer ndogo tu. Anzisha biashara ya printing room kwako weka matangazo sehem za makutano weka na simu yako tena shusha bei. Mfano kama stationery wanaprint 500@page we printi kwa 100@page. Chuo kizima watakujua assignment zikianza.

2. Kama #1 hapo juu itashindikana kwasababu ya hali ya uchumi bas vitu kama heater, jagi la umeme, pasi, TV na Decoder (DSTv) hua vinapaisha kama sio chuo bas angalau utafahamika na "block" nzima.

3. Bishana na mwalim class siku za mwanzo mwanzo tu. Hiyo itakupa sifa darasan kwako afu watakuona kichwa sana na utang'oa dem mkal zaid class coz atajihakikishia kwamba atapata msaada wa kimasomo

4. Nenda uwe hardcore uso wa mbuzi hakuna kuremba. Uwe mtu wa matisheti ya BobMarley na mgongoni mfuko wa "mjani wa bange" kila uendako. Jifanye rasi flan....utajulikana hadi na VC Admin

Kila la kheri mdogoangu.

An ant on the move does more than a dozing ox.
Nimekukubali bro we ndo unafaa sasa

Wa kishua
 
Ukitaka umaarufu wenye faida we piga GPA ya 5.0 kuanzia first year.
Ukimaliza chuo hutatembeza bahasha sana kama wenzako.

Mengine ni upuuzi tu mara pamba, pombe n mademu ni upuuzi na kupoteza muda
Poa askar wangu

Wa kishua
 
Kila litakalo tokea chuo wewe jihusishe alafu wala usijikite kwenye kusoma zikitokea bash wewe kuwa kipaumbele sijui after pens down wewe nenda kipindi kikiwa saa3 wee nenda masaa matano baadae alafu kikubwa zaidi SUP zako 3 au 4 iv unakuwa bonge la star kwa DISCO flani ivi
Poa mkal mabash ndo nayapenda sasa

Wa kishua
 
Usipate shida kuwa star chuoni cha kufanya gonga papuchi ya mkuu Wa chuo utakuwa maarufu chuoni mpaka mtaani
 
kwa saikolojia yangu inaonyesha wewe ulishapitia maisha ya chuo hivyo unataka uone watu wanasemaje tu
 
Back
Top Bottom