Dripboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 3,178
- 4,603
bora Ting, continental wasumbufuTing au continental bora kipi sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
bora Ting, continental wasumbufuTing au continental bora kipi sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes,ubora wa picha ting na star times yupi best hapo ili chague kabisabora Ting, continental wasumbufu
Startimes wanapicha mbovu mno kama utanunua cha antenna, ila dish liko vizuri sema FTA ndio utapata nazo shida Ting wao hawana matatizo japo hawafikii idadi ya channels zilizoko kwenye kisimbusi cha dish startimesYes,ubora wa picha ting na star times yupi best hapo ili chague kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio ninunue ting au star times kati ya hivi viwili Mimi napenda local sanaStartimes wanapicha mbovu mno kama utanunua cha antenna, ila dish liko vizuri sema FTA ndio utapata nazo shida Ting wao hawana matatizo japo hawafikii idadi ya channels zilizoko kwenye kisimbusi cha dish startimes
Nikitaka kuangalia local channels huwa na naweka startimes antenna. Napata free tbc 1, tv1, chann10, startv, itv, eatv, clouds, etv, wrm, living water, tv tumaini na upendo.FTA Tanzania ni tano tu, na ukitumia dish la startimes hata hizo tano utazisikia radion unaweza bahatisha mbili au moja
TV tumain unapata duuuh mie niko mkoani sijawahi iona wala TV eNikitaka kuangalia local channels huwa na naweka startimes antenna. Napata free tbc 1, tv1, chann10, startv, itv, eatv, clouds, etv, wrm, living water, tv tumaini na upendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawapo smart. Mfano mm sipati hiyo safari tv wengine wanapata. Ila nilichogundua wengi wanapata chnl 5 tu for free
Chanel tano zenye leseni ya kitaifa no ITV eatv TBC Chanel ten na startv,hizo nyingine itakua leseni zao haziruhusu aiseeHawapo smart. Mfano mm sipati hiyo safari tv wengine wanapata. Ila nilichogundua wengi wanapata chnl 5 tu for free
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua Ting hutajutaKwahio ninunue ting au star times kati ya hivi viwili Mimi napenda local sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Antena ya ndani mkuuWewe unatumia antenna?
Basi mkuu wala haukifaidi hicho kisimbusi, Cha dish kina Chanel's nyingi mpaka kero kuna mahala nilienda nikajaribu ku_search kikaleta hadi brazzers tv (channel ya porn)Antena ya ndani mkuu
Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
Startimes??Basi mkuu wala haukifaidi hicho kisimbusi, Cha dish kina Chanel's nyingi mpaka kero kuna mahala nilienda nikajaribu ku_search kikaleta hadi brazzers tv (channel ya porn)
Startimes hamna radio hizi zetu ila wana local channels zote kasoro EtvHivi kwa ving'amuzi vyenye local kipi ni best yaani ubora wa picha sauti na mfumo wa radio hebu nisaidie bro
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipi chenye local na radio chenye ubora kama star times?Startimes hamna radio hizi zetu ila wana local channels zote kasoro Etv
Azam hawana local channels zaidi ya tbc na channels zao ila radio karibia zote maarufu zipo
Basi mkuu wala haukifaidi hicho kisimbusi, Cha dish kina Chanel's nyingi mpaka kero kuna mahala nilienda nikajaribu ku_search kikaleta hadi brazzers tv (channel ya porn)
Freesat, Digsat, starsat,
Sent by nokia tochi