TheGreatASA
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 302
- 391
Hivi kumbe Kluger libana matumizi ya mafuta, mimi huwa naliogopa kwa sababu naliona ni gari kuuuuuuuubwa, linanitisha.Fuel consuption
Angalia
1. Rav 4
2. Klugger
3. Porte
4. Carina Ti
Hivi kumbe Kluger libana matumizi ya mafuta, mimi huwa naliogopa kwa sababu naliona ni gari kuuuuuuuubwa, linanitisha.Fuel consuption
Angalia
1. Rav 4
2. Klugger
3. Porte
4. Carina Ti
Nikiona Nissan Murano moyo wangu unalipuka!Vipi kuhusu NISSAN MURANO NA NISSAN DUALIS, gari hizo binafsi nazipenda sana lakini ni gari adimu sana mtaani inaelekea watu hawazipendi. Naomba kujuzwa tatizo au uzuri wa gari hizo. Asante.
Klugger V ile ipo vizuri tu haimuzi sana upande wa mafuta.Hivi kumbe Kluger libana matumizi ya mafuta, mimi huwa naliogopa kwa sababu naliona ni gari kuuuuuuuubwa, linanitisha.
Nunua grand Vitara hutojutaWakuu, Ni naomba ushauri juu ya Aina ya gari la kununua nikija Tanzania na vigezo ni Hivi,
1 . liwe na fuel consumption Nzuri.
2. Lisiwe Dogo sana, kama passo mfano,
3. Liwe na mwendo Mzuri na
4. Uwezo wa Kwenda Masafa marefu.