Habari ya asubuhi wanajamvi, namshukuru Mungu nimeamka salama.
Jana baada ya shughuli za siku nzima nilirudi nyumbani kwangu, na muda wa kulala ulipofika nikavaa nguo zangu za kulalia nikalala salama. KINACHONIPA WASIWASI, leo nimeshituka mida ya saa 04:45 alfajiri nikaajikuta sina nguo hata moja yaani nipo utupu, nguo ziko pembeni yangu na nimelala chali.yaani nimeshtuka sana, cha kwanza nikajikagua kila sehemu ya mwili wangu nikakuto ni salama pote.
Chumbani kwangu nalala mwenyewe na huwa ninafunga kabisa ,na jana nilifanya hivyo hivyo nilifunga mlango wangu kama kawaida, kweli hali hii imenitia wasiwasi.
Naombeni ushauri wenu wadau.
Jana baada ya shughuli za siku nzima nilirudi nyumbani kwangu, na muda wa kulala ulipofika nikavaa nguo zangu za kulalia nikalala salama. KINACHONIPA WASIWASI, leo nimeshituka mida ya saa 04:45 alfajiri nikaajikuta sina nguo hata moja yaani nipo utupu, nguo ziko pembeni yangu na nimelala chali.yaani nimeshtuka sana, cha kwanza nikajikagua kila sehemu ya mwili wangu nikakuto ni salama pote.
Chumbani kwangu nalala mwenyewe na huwa ninafunga kabisa ,na jana nilifanya hivyo hivyo nilifunga mlango wangu kama kawaida, kweli hali hii imenitia wasiwasi.
Naombeni ushauri wenu wadau.