bei iko juu sana maeneo yale kwa sasa, nenda Mkoka au Madesa kuna maeneo mazuri. Changamoto ya Mkoka ni wanyama pori, changamoto ya Madesa ni wakulima wadogo na maji, japo maji ya bomba yapo. Madesa ni hapo hapo Msata ( kijiji cha Kihangaiko, kitongoji ndio Madesa, kinapakana na IFM compound), kuna mwenzio ana mbuzi balaa mitaa ile.
Kama uko serious, nenda Buyuni kata ya Vigwaza, maeneo yako vizuri kwa ufugaji na makubwa, na bei iko vizuri, udongo wake unaruhusu lambo na kilimo, ni eneo la wafugaji wa mifugo mbali mbali.