MuoeWaja naomba mnishauri kuhusu huyu singo maza
Kuna singo maza nimepiga sound akajaa kwenye mfumo ni kibinti kina 23 tu
Afu kananiambia nikaoe nikaweke ndani
Shida anamtoto miaka 2 tu afu bado wanawasiliana na baba wa mtoto nikikaoa kataniletea shida maana nikarembo kafundi cherehani afu kana mzigo wa haja na mimi sio mtu wa kukaa sana wahuni hawatanigongea kweli?
Ni vizuri kaka unaendana naye mkuu. Hata singo Mazas wana haki ya kuolewa.Nimhamisha tunaenda kuishi mbali na amekubali kuacha mtoto kwao ila ni mdogo miaka 2 tu nakaonea huruma
Wahuni sio watu nimecheka kifala sana hapa..Kwa mafuta ya ndege tegemea BP
Kwa oil za magari tegemea BP
Kwa petrol ya gari tegemea BP
Kwa grisi ya mtambo tegemea BP
Mwezi ujao atakuja kukuuliza Mad Max ninunue hii Vits utajibu nunua..Muoe
Swali unalouliza ndilo jibu lenyeweKwanini mkuu? hata mimi najiuliza alivyomrembo hivi tatizo litakuwa nini yaani baba wa mtoto hataki kumuoa