Afande Kirusi
Senior Member
- Mar 15, 2018
- 110
- 125
- Thread starter
- #21
Pole mkuu, muoe unaempenda kwa dhati na yeye anaekupenda, mama wa kambo ni jina tu.
Mm Nina mtoto naishi nae wa Mume wangu, tunapendana balaa, ile natoka honeymoon nakutana na watoto watatu wa kwanza wa mume wangu wawili wa shemeji zangu walizaaga wenyewe bado wanasoma
Walizan wamenikomesha kumbe wameniongezea baraka kwenye nyumba, watoto wanapendana balaa nikazaa watoto wangu wawili basi nipo na team ya watoto wa5 wanapendana SNA, niliwakuta wana miaka 6, now wote wapo darasa LA 7 wakirudi likizo sasa wananiletea zawadi balaa, wanajimek pocket money zao wanamkumbuka mama yao, yaan hawakumbuki mama zao kabisaaa
Nikinunua zawad ni za watoto wote, nikikosa nanunua big bom5 yaan wananipenda sna.
Ni roho ya MTU tu mkuu, na hofu ya Mungu ikiwepo AMAN INATAWALA
Asante kwa ushauri mzuri, ubarikiwe, wanawake wenye moyo kama wako ndo changamoto, kipindi cha uchumba hawana tatizo, mziki akiingia ndani mambo yanabadilika