steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Kuna mwanamke nilikuwa nikiamini nimezaa nae mtoto na mtoto amefikisha mwaka na zaidi Sasa wa kiume ila leo limetokea tatizo
Tulikuwa na ugomvi binafsi ikapelekea mwenzangu akachukia na akaniambia nifute namba zake
Baada ya kuniambia hivyo nikamuuliza nafutaje wakati Mimi na yeye tuna mtoto?
Jibu alilonijibu kuwa mtoto sio wangu tulikuwa tunachati nikaona nimpigie nikamuuliza akajibu vile vile kuwa mtoto sio wangu
Kiukweli ninechanganyikiwa sijui nifanyaje naombeni ushauri ndugu zanguni najihisi kushindwa kujicontrol
Tulikuwa na ugomvi binafsi ikapelekea mwenzangu akachukia na akaniambia nifute namba zake
Baada ya kuniambia hivyo nikamuuliza nafutaje wakati Mimi na yeye tuna mtoto?
Jibu alilonijibu kuwa mtoto sio wangu tulikuwa tunachati nikaona nimpigie nikamuuliza akajibu vile vile kuwa mtoto sio wangu
Kiukweli ninechanganyikiwa sijui nifanyaje naombeni ushauri ndugu zanguni najihisi kushindwa kujicontrol