ushauri...nimetembea na wanaume wawilii!

ushauri...nimetembea na wanaume wawilii!

endelea kuwasambazia upendo hao wanaume wawili kwani ulishajiandaa kuwa single mama.
 
Siku ya ngapi? Kama ni siku ya ovulation ni huyo wa kwanza. Kama ni siku moja na kuendelea kabla ya ovulation hatuwezi kujua
 
Namwanaumee mmoja aliyetembea naye
FB_IMG_1745455948805.jpg
anauparaa km huyu jamaa hapaa
 
Atafanana na yule amemnunulia chips yai na mirinda nyeusi na kuiona ni tamu kuliko ya yule mwingine. Upuuzi tu!
 
Ww subiri kuitwa ankoo km uko na pesa km una pesa tafuta chapu chapu mtt akizaliwa asikuiteee MJOMBAA..
 
Mzuka wana JF

Habari Nina mdogo wangu katembea na wanaume wawili kwa siku moja kwa mda tofauti tofaut alafu alikuwa kwenye siku zake za Atari anauliza akipata mimba mtoto anaweza kufanana na wakwanz au wapili anaomba ushauri
Na nyie huwa mnapata mimba? How? Hamkuumbwa kwa namna hiyo. Wachafu sana nyie. Mnajiachia tu sababu serikali inawabeba.
 
Yaaan stage aliyofikia Mdogo wako ni Malaya kabisa.
Ndoa asahau au akiingia atachoka mapema.

Yaan unatoka pigwa denda na kushika mbupu za mwanaume mmoja mchana alaf jion unaenda kushika za mwngne?

Dah! Astagafurirah
 
Back
Top Bottom