USHAURI : Nimempa mimba mwanafunzi

Hayo majanga chakufanya wewe kula Kona kwanza uka sikilizie
 
Assume umri wako wa sasa = X
Miaka 30 ijayo iwe = Y
Jumla ya X na Y = Z
Hivyo: X + Y = Z
NB: Nenda Wizara ya Mambo ya Ndani, ulizia Kangi Lugola, ukimpata muelezee hicho kisa chote, ukimaliza muoneshe huo Mlinganyo atakusaidia bila hiana yoyote na hatimae hilo swala la Mimba litakwisha!
 
hahahahaa
 
Badala ya kuanza/kutoroka unakuja jf kuanzisha uzi,kuja kushtuka polisi wako mlangoni kwako,
ANGALIZO:Jela sio kuzuri kabisa kama huamini muangalie singasinga Seth na Bilionea Rugemalila walivyo sana,usije sema hukuonywa
Unajuaje kama ameandika akiwa Tunisia.
 
Umeacha walevi vilabuni,ma shuga mumy,buguruni Roxana pale unaenda kwa mwanafunzii tena wa k.majaliwa daah!!

Hitimisho:kuna wafungwa wengi mabachela,hawajawahi kupractice
ni vyema unaenda kukidhi haja zao.
 
We mpelekee mnyapara marinda hayo akajitatulie kiulaini
 
nani alikwambia mimba inaingia kwa bahati mbaya tofauti na aliebakwa?
Nakushaul kimbia mbali na maeneo husika ili kupunguza mzozo na majanga
 
Kule kwetu, wewe utaitwa " imbute". Unahitaji kuchomwa kwenye moto wa mavi ya ng'ombe ili uweze kuwa na radha!!!!
 
ACHA UOGA WA KIBOYA BOYA WEWE..... UNA MSALA NA WIFE TUU HAPO
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…