Ushauri: Nimempa mimba binamu yangu


Siku zote hasira hasara lakini naona kwako imekua faida. Lea mimba hadi mtoto ndio matunda ya ngono
 
Eti niliamua kutokupenda tena wanawake wapende wanaume wenzio basi
 
nimepanga kuichomoa tu itakuwa aibu isiyofutika,dogo mwenyewe mwakani anaingia form 4,kama dhambi na iwe tu
 
Ukimwi je?
Yesu mbona huji? Please timiza ahadi urudi

wewe yesu haji leo bado sana. biblia inasema miaka elfu moja kwa mungu ni sawa na siku moja, sasa ni miaka elfu mbili kwa Mungu ni sawa na siku mbili . siku mbili tu zimepita tangu yesu aondoke halafu leo unataka arudi hata maumivu hajasahau bado.
 
Sasa kama umeshaamua kumwambia aitoe sisi tutakushauri nini?
 
...mbaf sana, wewe na mtoto wa mjomba wako jinga sana aiseee.....
 

Pumbvu zako.
 
no comments thread closed kesho naenda kuicholopoa mimba,siwezi kuoa binamu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…