Ushauri; nimekutwa na UKIMWI... Bora nife tu.

Ushauri; nimekutwa na UKIMWI... Bora nife tu.

Umepata ulichokua unatafuta, hata hivyo huo sio mwisho wa maisha, zingatia masharti uishi kwa matumaini...
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana ,24 ...nimekuja hapa mjini tangu 2014, nikitokea kijijini kwetu mtwara. Hapa skua na ndugu hata mmoja Ila nmehaso angalau nimepata kibanda cha kuegesha mwili ucku na mishe za hapa na pale ili niweze kula.

Vhela kdg vlivyobak , km mjuavyo cc vjana mfuko ukijaa kdg ni mwendo wa kuzitafuna na madem.

Bwana bwana, yamentokea puani,cjui ni nan kat ya hawa madem zangu, lkn juzi nlkua naumwa nkaenda hosptali nkidhan malaria , c nkapima na ukimwi bana...Dah... Nimenasa kwa kweli.

Cfikrii kurudi nyumbani , maisha ya kule ni magumu sana,...na kanisani ndo kabisaa hata ckumbuk mara ya mwisho kwenda ni lini.

Huku magetoni kila mtu kivyake...na cdhan km ntaweza kuwajulisha kuhusu hili jambo....labda cku wakikuta nimeshadedi

Msaada jamani wakuu
 
Anza kutafuta Kanisa na Utubu,pili anza tiba mapema.
 
Pole sana ila sio mwisho wa maisha bali mwanzo wa maisha mengine ambayo utakua mwangalifu nayo sana Zaidi ya yale uliokua unaishi nayo mwanzo.
Kwa hiyo utakua katika stage nzuri zaisi kwa sababu ARVs zinauwezo wa kukufanya uishi kwa afya njema hata Zaidi ya miaka ming.
Anza kufanya mazoezi kiasi kwa ajili ya mwili wako.
Usiishi kwa stress bali take easy ishi kwa furaha, amini nakuambia huewezi amni kuna watu wengi sana wameungua wanafahamiana wao kwa wao kwa sababu hukutana huko hospitalini basi ukisikia habari zao utashangaa. Nilichojifunza ni kuwa wanajikubali halafu wanaishi kwa furaha na Amani kwa Ukimwi sio kitu cha kutisha tena kama zamani.
Wana afya nzuri sana mwenyewe ukiwaona utawatamani.
Ndugu anza kula vizuti kula vyakula vya protein kama nyama hasa nyama nyeupe (Kuku), samaki, kunya mazima mgando au fresh, kula maharagwe, matunda kama ndizi, parachichi, water melon, embe, chungwa, papai, nanasi, fenesi n.k. kunyw amaji, karanga, mbogamboga, siagi.
upumzishe mwili wako vizui, burudika kwa kungalia movies, muziki, michezo na burudani nzuri za kukufurahisha nafsi yako.

NB: Pumzi/uhai anatoa MUNGU kwa hiyo mkabidhi MUNGU maisha yako na hii ina apply hata kwa mtu asie na maambukizi ya ukimwi na wale wote wale.
Pia usiausambaze huo ugonjwa kwa watu wengine bali tumia zana kiuangalifu na pia tafuta mwenzi mwenye hali kama yako/
Enjoy mkuu take easy.
 
Hao waliokupa majibu si wataalamu wa afya, wameshindwa kukupa ushauri nasaha? Anza kitengo na mengine uyaulizie huko. Hapa kila mtu ana PhD ya UKIMWI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom