Ushauri; nimekutwa na UKIMWI... Bora nife tu.

Ushauri; nimekutwa na UKIMWI... Bora nife tu.

Nenda kapime tena kwingine, hivi vipimo vinasemaga uongo sometime
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana ,24 ...nimekuja hapa mjini tangu 2014, nikitokea kijijini kwetu mtwara. Hapa skua na ndugu hata mmoja Ila nmehaso angalau nimepata kibanda cha kuegesha mwili ucku na mishe za hapa na pale ili niweze kula.

Vhela kdg vlivyobak , km mjuavyo cc vjana mfuko ukijaa kdg ni mwendo wa kuzitafuna na madem.

Bwana bwana, yamentokea puani,cjui ni nan kat ya hawa madem zangu, lkn juzi nlkua naumwa nkaenda hosptali nkidhan malaria , c nkapima na ukimwi bana...Dah... Nimenasa kwa kweli.

Cfikrii kurudi nyumbani , maisha ya kule ni magumu sana,...na kanisani ndo kabisaa hata ckumbuk mara ya mwisho kwenda ni lini.

Huku magetoni kila mtu kivyake...na cdhan km ntaweza kuwajulisha kuhusu hili jambo....labda cku wakikuta nimeshadedi [emoji24] [emoji24] [emoji24]

Msaada jamani wakuu
Ni heri ufe tu kama ulivyoamua mkuu maana kwa jinsi unavyoonekana hukawii kuusambaza.
 
kama unataka kufa si ununue sumu au kamba ujinyonge umekuja kutuambia ili iweje? hv huko hospital hukuambiwa cha kufanya na ushauri tele au? pole sana
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana ,24 ...nimekuja hapa mjini tangu 2014, nikitokea kijijini kwetu mtwara. Hapa skua na ndugu hata mmoja Ila nmehaso angalau nimepata kibanda cha kuegesha mwili ucku na mishe za hapa na pale ili niweze kula.

Vhela kdg vlivyobak , km mjuavyo cc vjana mfuko ukijaa kdg ni mwendo wa kuzitafuna na madem.

Bwana bwana, yamentokea puani,cjui ni nan kat ya hawa madem zangu, lkn juzi nlkua naumwa nkaenda hosptali nkidhan malaria , c nkapima na ukimwi bana...Dah... Nimenasa kwa kweli.

Cfikrii kurudi nyumbani , maisha ya kule ni magumu sana,...na kanisani ndo kabisaa hata ckumbuk mara ya mwisho kwenda ni lini.

Huku magetoni kila mtu kivyake...na cdhan km ntaweza kuwajulisha kuhusu hili jambo....labda cku wakikuta nimeshadedi [emoji24] [emoji24] [emoji24]

Msaada jamani wakuu
Siku hizi hiyo sio ishu tena.
Anza dawa mkuu hutaona tofauti mwilini mwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom