Ushauri: Niende Wapi

Ushauri: Niende Wapi

SaaMbovu

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
6,028
Reaction score
5,355
Habari wana JF.
Nimeitwa Interview sehemu mbili TPDC saa 6 mchana na TANESCO saa 3 asubuhi zote tarehe 6/8. Nishauri niende wapi maana siwezi kuwahi zote kutokana na miundombinu ya Dar es Salaam pamoja na suala la muda huenda 3 ikawa saa 5 kama vile waingereza huwa wanavyosema 'no hurry in Africa'.
Ahsante
 
Hongera kwa kuitwa kwa usaili,jaribu kucheki wapi wewe unaona pazuri,ila cha msing pia angalia uwezekano wa kupata ni wapi kat ya hzo seh.2,then fanya maamuz,ila ingekuwa mm ningeenda Tanesco sab.zipo nyuma ya pazia.
 
Tanesco umeitwa post mkuu,jaribu kuangalia ratio ya idadi ya watu na post pia mkuu ila ningekushauri uende kule ambako uko na passions nako zaidi ingawaje tanesco nazani chance ya ushindi ni kubwa zaidi tpdc wanacomplicate sana
 
Mkuu hongera kwa kuitwa kwenye interview sehemu zote mbili kwani kuna wengine hata hiyo moja hawajaitwa, ushauri wangu ni hivi jitahidi uwahi tanesco then ukitoka kama bado mapema chikua bodaboda uwahi tpdc kama saa 6 itakuwa haijafika.other wise good luck
 
haya mambo ya kazi huwa hayatabiriki unapopadharau unashangaa ndio unaitwa,ungeweva kupeleleza hata kama ni kwenda physical kabla ya siku ya interview,hiyo ya saa 3 kama unaweza kufanyiwa hata mapema zaidi ukawa hata mtu wa kwanza na hiyo ya saa 6 ukawa hata wa mwisho kufanyiwa,na ukatafuta usafiri utakao kufikisha hizo sehemu kwa haraka hao TPDC si wako lumumba na TANESCO wako ubungo?ukapita short cuts za kariakoo,kigogo,mabibo then unaibuka ubungo
 
Anza na tanesco saa 3 make sure unawahi sana ili uwe wa kwanza kwanza kama huo uwezekano utakuepo then ukitoka hata kama unaona utachelewa weeh nenda tuu chukua bajaji/bodaboda/ungo/kimbia kuliko bolt huwezi jua siunajua saa 6 ya mwafrica unaweza ukakuta kuna uwezekano wa kufanya interview "better late than never" Mungu akutangulie.
 
Anza na tanesco saa 3 make sure unawahi sana ili uwe wa kwanza kwanza kama huo uwezekano utakuepo then ukitoka hata kama unaona utachelewa weeh nenda tuu chukua bajaji/bodaboda/ungo/kimbia kuliko bolt huwezi jua siunajua saa 6 ya mwafrica unaweza ukakuta kuna uwezekano wa kufanya interview "better late than never" Mungu akutangulie.

Namshauri atumie Ungo
 
Habari wana JF.
Nimeitwa Interview sehemu mbili TPDC saa 6 mchana na TANESCO saa 3 asubuhi zote tarehe 6/8. Nishauri niende wapi maana siwezi kuwahi zote kutokana na miundombinu ya Dar es Salaam pamoja na suala la muda huenda 3 ikawa saa 5 kama vile waingereza huwa wanavyosema 'no hurry in Africa'.
Ahsante

Utafanya zote anza na ya kwanza maana kama Tanesco watachelewa kule TPDC nao wanachele mno ila andaa hela kidogo ya Pikipiki kwa kuwahi haraka sehemu ya pili.
 
Ikiwa utaamua kuhudhuria ya saa 3 automatically udhuria na ya pili, uchukue bodaboda ukajaribu na ya pili.
 
Mkuu hongera kwa kuitwa kwenye interview sehemu zote mbili kwani kuna wengine hata hiyo moja hawajaitwa, ushauri wangu ni hivi jitahidi uwahi tanesco then ukitoka kama bado mapema chikua bodaboda uwahi tpdc kama saa 6 itakuwa haijafika.other wise good luck

Asante sana mkuu
 
Anza na tanesco saa 3 make sure unawahi sana ili uwe wa kwanza kwanza kama huo uwezekano utakuepo then ukitoka hata kama unaona utachelewa weeh nenda tuu chukua bajaji/bodaboda/ungo/kimbia kuliko bolt huwezi jua siunajua saa 6 ya mwafrica unaweza ukakuta kuna uwezekano wa kufanya interview "better late than never" Mungu akutangulie.

Asante sana
 
haya mambo ya kazi huwa hayatabiriki unapopadharau unashangaa ndio unaitwa,ungeweva kupeleleza hata kama ni kwenda physical kabla ya siku ya interview,hiyo ya saa 3 kama unaweza kufanyiwa hata mapema zaidi ukawa hata mtu wa kwanza na hiyo ya saa 6 ukawa hata wa mwisho kufanyiwa,na ukatafuta usafiri utakao kufikisha hizo sehemu kwa haraka hao TPDC si wako lumumba na TANESCO wako ubungo?ukapita short cuts za kariakoo,kigogo,mabibo then unaibuka ubungo

#lin TPDC ni Mikocheni na TANESCO ni Station angalia umbali huo. Thanks kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom