SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,028
- 5,355
Habari wana JF.
Nimeitwa Interview sehemu mbili TPDC saa 6 mchana na TANESCO saa 3 asubuhi zote tarehe 6/8. Nishauri niende wapi maana siwezi kuwahi zote kutokana na miundombinu ya Dar es Salaam pamoja na suala la muda huenda 3 ikawa saa 5 kama vile waingereza huwa wanavyosema 'no hurry in Africa'.
Ahsante
Nimeitwa Interview sehemu mbili TPDC saa 6 mchana na TANESCO saa 3 asubuhi zote tarehe 6/8. Nishauri niende wapi maana siwezi kuwahi zote kutokana na miundombinu ya Dar es Salaam pamoja na suala la muda huenda 3 ikawa saa 5 kama vile waingereza huwa wanavyosema 'no hurry in Africa'.
Ahsante