Ushauri, natokaje hapa?

Huyo ni single mother wa sita una mzalisha mleta mada, inaonyesha somo la self control limekupita mbali

Tulia wewe, nilikuwa na uhakika baada ya kuona kile kijiti…. on to the next one
 

Aisee mkuu sio miezi mitatu, ni miezi 7 maana ni kuanzia Disemba 2020…. ila sasa nimefanikiwa kujinasua.
 
Mungu kila mtu humpa mke kwa style yake yani we huyo ndio mkeo

Ni kweli mkuu, ila huyu nimevumilia sana kwa kuwa yalikuwa makosa yangu…. imenigharimu pakubwa.

Ukiishi na mtu ndo utamjua vema, japo ni risk sana ikiwa kinyemela…. na sio heshima pia.
 
Ni kweli mkuu, ila huyu nimevumilia sana kwa kuwa yalikuwa makosa yangu…. imenigharimu pakubwa.

Ukiishi na mtu ndo utamjua vema, japo ni risk sana ikiwa kinyemela…. na sio heshima pia.
Yeah umemjua mapungufu yake mapema😅
 
Ni kweli mkuu, ila huyu nimevumilia sana kwa kuwa yalikuwa makosa yangu…. imenigharimu pakubwa.

Ukiishi na mtu ndo utamjua vema, japo ni risk sana ikiwa kinyemela…. na sio heshima pia.
Na hili ndio nashauri vijana kabla hujaoa ishi na mtu kwanza umuone tabia zake
 
Anatesa watoto kwa zinaa zake wewe uzae na wanawake sita una Hela ya kuwapeleka feza school kweli?
Maskini huzaa hovyo bila kujali future na hatima ya watoto, matokeo yake vibaka na machangu wanazidi mtaani.

Shule sio FEZA tu mkuu ila sipo kwenye kiwango cha kuteseka au kushindwa kulea watoto, maisha yana vingi vya kufurahia…. kusema ukweli nimepanga kuoa mwakani.

Niombee ndugu yangu..!
 
Japo njia hii pia ni kuhamishia maumivu kwa mwingine kutoboka mfuko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…