Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,769
- 54,090
Mzee hiyo gari unaeza fanya hata Uber au kubeba Wana familia.
Hilo li boda ni trash tu
Hilo li boda ni trash tu
sawa mkuuMzee hiyo gari unaeza fanya hata Uber au kubeba Wana familia.
Hilo li boda ni trash tu
mkuu kununua used si presha ingine iyo auKwanini usinunue bajaji used ambayo inauzwa kati 1.8 m hadi 3.5 unapata.
Bajaji inatembea km 30 kwa lita.
Mimi nimenunua bajaji.
Mbali na ulaji mdogo wa mafuta, njiani unapata abiria.
Pikipiki hapana!
Unakagua hata na fundi wako.mkuu kununua used si presha ingine iyo au
Upo wapi mkuu babaj umenunua shingapi?Kwanini usinunue bajaji used ambayo inauzwa kati 1.8 m hadi 3.5 unapata.
Bajaji inatembea km 30 kwa lita.
Mimi nimenunua bajaji.
Mbali na ulaji mdogo wa mafuta, njiani unapata abiria.
Pikipiki hapana!
Nimenunua 1.5 namba BUpo w
Upo wapi mkuu babaj umenunua shingapi?
Tofauti na pikipiki.. hata ndege pia zinapata ajali.mkuu mbn hata gari ua zinapata ajali
Salenda tuje tule ubweche sisindio mkuu maana mafuta yanaongezeka bei kila uchwao nimesarenda aisee
Na vyakula vikipanda bei..surrender kula best.ndio mkuu maana mafuta yanaongezeka bei kila uchwao nimesarenda aisee
Usikimbie gharama za maisha, ongeza vyanzo vya mapato. Vijana wenzako wanapiga hatua kwenda mbele, wewe unapiga hatua kurudi nyuma. Akili gani hiyo?Hiki kipasso kinaenda km 12 kwa lita ya wese. Kutoka home hadi job ni km 12 yani km 24 kama ni kwenda na kurudi.
kwaiyo nahitaji kama lita mbili hivi kila siku au shilingi 6,514 (3,257×2) kwa siku au shilingi 195,420 (3,257×2×30) kwa mwezi kwa bei ya sasa ya wese.
Nataka niachane na hiki kipasso naona kinanimaliza tu nisije kubaki mifupa mitupu mtoto wa watu mwisho nishindwe kufanya vya maana kwa kulitumikia gari.
Nimeambiwa pikipiki inaenda km 28 adi 30 kwa lita. ina maana lita moja tu inanitosha kwenda na kurudi home kila siku. inamaana kwa siku nikiwa na 6,514 au sh 97,970 natoboa mwezi vizuri tu.
Wakuu nawakaribisha kutia neno kwenye hii idea yangu mpya.
Mnaionaje?
Pamoja na kwamba unajitangaza Kwa nguvu zote kuwa una gari lakini mabinti humu watakuambia una baby walker. So stop show off young boy, mind your business.Hiki kipasso kinaenda km 12 kwa lita ya wese. Kutoka home hadi job ni km 12 yani km 24 kama ni kwenda na kurudi.
kwaiyo nahitaji kama lita mbili hivi kila siku au shilingi 6,514 (3,257×2) kwa siku au shilingi 195,420 (3,257×2×30) kwa mwezi kwa bei ya sasa ya wese.
Nataka niachane na hiki kipasso naona kinanimaliza tu nisije kubaki mifupa mitupu mtoto wa watu mwisho nishindwe kufanya vya maana kwa kulitumikia gari.
Nimeambiwa pikipiki inaenda km 28 adi 30 kwa lita. ina maana lita moja tu inanitosha kwenda na kurudi home kila siku. inamaana kwa siku nikiwa na 6,514 au sh 97,970 natoboa mwezi vizuri tu.
Wakuu nawakaribisha kutia neno kwenye hii idea yangu mpya.
Mnaionaje?
Ananunua karanga za jero mdogo mdogo Hadi ofisiniUkiuza gari ,usinunue pikipiki Bado ni ghali,
Tembea Kwa mguu, amka saa tisa usiku, km 12 unatoboa. Utatumia maji ambayo utoka nayo home Bure kabisa.
Natania 😀
Usijibane, tafuta vyanzo vingine vya mapato, Ili uweze meet expenses zako vizuri.
daah mkuu mungu anakuonaAnanunua karanga za jero mdogo mdogo Hadi ofisini