Ushauri: Nataka kuacha chuo nikomae na kitaa

Gan star

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
380
980
Habarni wana jamvi!

Mimi ni undegraduate wa education kwa masomo ya sanaa (Geography ad History) since 2015. Kama mnavyojua ajira za walimu wa sanaa za moja kwa moja serikalini zimefutwa na zimebaki za kubanana private, nako ni kujuana na nyingi zinahtaj eperience ya miaka kadhaa kwenye game.

Tangia hapo nilitafta kazi bila mafanikio..niliamua kutunza vyeti vyangu vizur kwa ajil ya matumizi ya badae pale itakapowezekana. Na nikaamaua kuwa mjasiriamali, nilanza kufanya biashara ya dagaa., japo hali ilikuwa ngumu, nilikomaa kibishi hadi pale nilipogota mwamba mwez wa nane this year, nilipata hasara na kupoteza karbia robo tatu ya mtaji baada ya dagaa nilizokuwa nimeanika kunyeshewa mvua ya ghafla kwa masaa kadhaa...na hvyo kuharibu bidhaa na ikapoteza thaman kwnye soko.

Katika hali ya kukata tamaa na kutafta njia ya kutokea..niliamua kumshirikisha Mwenyezi Mungu katika taabu yangu na majibu yakaja nirudi shule katika hatua ya kukubaliana na majibu niliyopata niliamua kufanya maombi chuo cha maji kwa diploma ya water lab na nikachaguliwa kabla ya muhula wa masomo kuanza nilipata wazo jingine la kuahrisha kwnda chuo badala yake nikomae tu na mtaa japo sikuwa hata na mtaji wa kueleweka.

Siku tatu kabla ya masomo kuanza kuna mzee nilikuwa napenda kupiga nae stor sana , akanikumbushia kuhusu kwnda shule...mzee alinisihi nirud shule akasema naweza baki mtaani na miaka mitatu ikapita wala sijafanya lolote ni heri nikaongeze cv....niliamua kumshirikisha Mungu tena kuhusiana na chuo cha maji..na majibu yakaja nikasome, niakawashirikisha marafki zangu wngine ni wachungaji na majibu yakaja nikasome..bas nikafungasha vitu na nikaja chuoni.

Pale chuoni wana mfuko wa kutoa mkopo niliomba mkopo bahat mbaya nikakosa nilikuwa na kias kdogo cha pesa kam laki tatu na nusu...hyo ndo nimetumia kuanzia chuo, na hela nyingine mzazi alikubali kunisaidia kdogo kdogo kwenye masomo kadri mda utakavyokuwa unasonga...kwan hana kipato kikubwa cha kuelewek nimefika chuoni nimekuta kitabu kinahtaji kukaza kwli kweli si mchezo na mimi nimezoea sh mia mia za ktaa napata tabu kweli na sasa nina miaka 26 nikiwaza marafki zangu naona wao wanaendelea tu na maisha mtaani na wanakomaa kibish...

Kwa sasa mda mwingi nawaza kuacha chuo, na nikifkria majibu ya Mwnyezi Mungu nabaki njia panda sana...nawaza huenda Mungu ameona riziki yangu ipo huku na sio kwnye elimu au ujasiriamali ninaong'ang'ania kwa sasa...naombeni ushauri wadau nafanye final decision
 
Fanya vile moyo wako unakusukuma jamaa
Alafu wewe sio risk taker
kuanguka kwenye biashara mara moja kusikukatishe tamaa
 
Mi nakushaur kwa kua cz ni BAED bora uache au ubadili cz mana hutoweza kujiajili na BAEd. nimesoma hiyo Cz kwa kujisomesha mwnywe nikiwa muajiliwa ila mpk ss najuta mana cjaona msaada wake zaid ya kuniongezea machungu ya maisha na ctosahau msoto niliopitia. Jitahid ubadili au utafute pesa. Kuna mkuu wng 1 wa idara yy alsha wai tamka ktk cz tunazosoma hakuna hata 1 inafundisha kutafta pesa.
 
Mi nakushaur kwa kua cz ni BAED bora uache au ubadili cz mana hutoweza kujiajili na BAEd. nimesoma hiyo Cz kwa kujisomesha mwnywe nikiwa muajiliwa ila mpk ss najuta mana cjaona msaada wake zaid ya kuniongezea machungu ya maisha na ctosahau msoto niliopitia. Jitahid ubadili au utafute pesa. Kuna mkuu wng 1 wa idara yy alsha wai tamka ktk cz tunazosoma hakuna hata 1 inafundisha kutafta pesa.
Ahsante ndug..
 
Kaka wewe endelea na chuo, miaka miwili sio kitu, na ukifanikiwa kuhitimu hapo utakua umejijengea CV kubwa na utakua mwepesi kuajilika kwa CV hio, lakini utumie muda huo wa chuo kujitafakali na kupanga maisha yako yatakuaje baada ya hapo, ji ashum kama umefungwa jela miaka miwili ya faida na ukiwaza na kupanga, kitaa hali sio nzuri kabisa, biashara zinakufa tu hadi wakongwe wa biashara wanafilisika. soma tu hadi uone mwisho wake.
 
Mtaji kufa na kupata hasara kwenye biashara ni kawaida sana sasa kama kuanguka kidogo tu umeteteleka hivo ni bora umalize hicho chuo upate plan...
 
Kipindi hiki biashara ni Ngumu sana hivyo ya kupasa kufanya upembuzi yakinifu kabla ya kuamua kurudi Kitaa, usijekosa Bara na Pwani..,
 
Kaka wewe endelea na chuo, miaka miwili sio kitu, na ukifanikiwa kuhitimu hapo utakua umejijengea CV kubwa na utakua mwepesi kuajilika kwa CV hio, lakini utumie muda huo wa chuo kujitafakali na kupanga maisha yako yatakuaje baada ya hapo, ji ashum kama umefungwa jela miaka miwili ya faida na ukiwaza na kupanga, kitaa hali sio nzuri kabisa, biashara zinakufa tu hadi wakongwe wa biashara wanafilisika. soma tu hadi uone mwisho wake.
Ahsante ndug kwa ushaur mzur
 
Habarni wana jamvi!

Mimi ni undegraduate wa education kwa masomo ya sanaa (Geography ad History) since 2015. Kama mnavyojua ajira za walimu wa sanaa za moja kwa moja serikalini zimefutwa na zimebaki za kubanana private, nako ni kujuana na nyingi zinahtaj eperience ya miaka kadhaa kwenye game.

Tangia hapo nilitafta kazi bila mafanikio..niliamua kutunza vyeti vyangu vizur kwa ajil ya matumizi ya badae pale itakapowezekana. Na nikaamaua kuwa mjasiriamali, nilanza kufanya biashara ya dagaa., japo hali ilikuwa ngumu, nilikomaa kibishi hadi pale nilipogota mwamba mwez wa nane this year, nilipata hasara na kupoteza karbia robo tatu ya mtaji baada ya dagaa nilizokuwa nimeanika kunyeshewa mvua ya ghafla kwa masaa kadhaa...na hvyo kuharibu bidhaa na ikapoteza thaman kwnye soko.

Katika hali ya kukata tamaa na kutafta njia ya kutokea..niliamua kumshirikisha Mwenyezi Mungu katika taabu yangu na majibu yakaja nirudi shule katika hatua ya kukubaliana na majibu niliyopata niliamua kufanya maombi chuo cha maji kwa diploma ya water lab na nikachaguliwa kabla ya muhula wa masomo kuanza nilipata wazo jingine la kuahrisha kwnda chuo badala yake nikomae tu na mtaa japo sikuwa hata na mtaji wa kueleweka.

Siku tatu kabla ya masomo kuanza kuna mzee nilikuwa napenda kupiga nae stor sana , akanikumbushia kuhusu kwnda shule...mzee alinisihi nirud shule akasema naweza baki mtaani na miaka mitatu ikapita wala sijafanya lolote ni heri nikaongeze cv....niliamua kumshirikisha Mungu tena kuhusiana na chuo cha maji..na majibu yakaja nikasome, niakawashirikisha marafki zangu wngine ni wachungaji na majibu yakaja nikasome..bas nikafungasha vitu na nikaja chuoni.

Pale chuoni wana mfuko wa kutoa mkopo niliomba mkopo bahat mbaya nikakosa nilikuwa na kias kdogo cha pesa kam laki tatu na nusu...hyo ndo nimetumia kuanzia chuo, na hela nyingine mzazi alikubali kunisaidia kdogo kdogo kwenye masomo kadri mda utakavyokuwa unasonga...kwan hana kipato kikubwa cha kuelewek nimefika chuoni nimekuta kitabu kinahtaji kukaza kwli kweli si mchezo na mimi nimezoea sh mia mia za ktaa napata tabu kweli na sasa nina miaka 26 nikiwaza marafki zangu naona wao wanaendelea tu na maisha mtaani na wanakomaa kibish...

Kwa sasa mda mwingi nawaza kuacha chuo, na nikifkria majibu ya Mwnyezi Mungu nabaki njia panda sana...nawaza huenda Mungu ameona riziki yangu ipo huku na sio kwnye elimu au ujasiriamali ninaong'ang'ania kwa sasa...naombeni ushauri wadau nafanye final decision
Sio Tangia ni Tangu
 
Habarni wana jamvi!

Mimi ni undegraduate wa education kwa masomo ya sanaa (Geography ad History) since 2015. Kama mnavyojua ajira za walimu wa sanaa za moja kwa moja serikalini zimefutwa na zimebaki za kubanana private, nako ni kujuana na nyingi zinahtaj eperience ya miaka kadhaa kwenye game.

Tangia hapo nilitafta kazi bila mafanikio..niliamua kutunza vyeti vyangu vizur kwa ajil ya matumizi ya badae pale itakapowezekana. Na nikaamaua kuwa mjasiriamali, nilanza kufanya biashara ya dagaa., japo hali ilikuwa ngumu, nilikomaa kibishi hadi pale nilipogota mwamba mwez wa nane this year, nilipata hasara na kupoteza karbia robo tatu ya mtaji baada ya dagaa nilizokuwa nimeanika kunyeshewa mvua ya ghafla kwa masaa kadhaa...na hvyo kuharibu bidhaa na ikapoteza thaman kwnye soko.

Katika hali ya kukata tamaa na kutafta njia ya kutokea..niliamua kumshirikisha Mwenyezi Mungu katika taabu yangu na majibu yakaja nirudi shule katika hatua ya kukubaliana na majibu niliyopata niliamua kufanya maombi chuo cha maji kwa diploma ya water lab na nikachaguliwa kabla ya muhula wa masomo kuanza nilipata wazo jingine la kuahrisha kwnda chuo badala yake nikomae tu na mtaa japo sikuwa hata na mtaji wa kueleweka.

Siku tatu kabla ya masomo kuanza kuna mzee nilikuwa napenda kupiga nae stor sana , akanikumbushia kuhusu kwnda shule...mzee alinisihi nirud shule akasema naweza baki mtaani na miaka mitatu ikapita wala sijafanya lolote ni heri nikaongeze cv....niliamua kumshirikisha Mungu tena kuhusiana na chuo cha maji..na majibu yakaja nikasome, niakawashirikisha marafki zangu wngine ni wachungaji na majibu yakaja nikasome..bas nikafungasha vitu na nikaja chuoni.

Pale chuoni wana mfuko wa kutoa mkopo niliomba mkopo bahat mbaya nikakosa nilikuwa na kias kdogo cha pesa kam laki tatu na nusu...hyo ndo nimetumia kuanzia chuo, na hela nyingine mzazi alikubali kunisaidia kdogo kdogo kwenye masomo kadri mda utakavyokuwa unasonga...kwan hana kipato kikubwa cha kuelewek nimefika chuoni nimekuta kitabu kinahtaji kukaza kwli kweli si mchezo na mimi nimezoea sh mia mia za ktaa napata tabu kweli na sasa nina miaka 26 nikiwaza marafki zangu naona wao wanaendelea tu na maisha mtaani na wanakomaa kibish...

Kwa sasa mda mwingi nawaza kuacha chuo, na nikifkria majibu ya Mwnyezi Mungu nabaki njia panda sana...nawaza huenda Mungu ameona riziki yangu ipo huku na sio kwnye elimu au ujasiriamali ninaong'ang'ania kwa sasa...naombeni ushauri wadau nafanye final decision
Soma dogo,future haieleweki, bora uwe na vyeti vikae tu ndani kuliko kutokua navyo,komaa umalizie
 
Back
Top Bottom