Mzee Mchochezi
Senior Member
- Apr 3, 2018
- 126
- 242
Salaam wanajukwaa
Kama mada inavyojieleza
Kuna sehemu nimepata kibarua,mshahara ni laki 2 na unatoka mapema kupitia bank
Sasa kupitia huu mshahara nina lengo la kudunduliza nipate mtaji,lakini kuna kitu kinanichanganya nahisi kama lengo langu halitatimia
Si kingine Bali ni namna gani niweze kuweka akiba,Nina mtoto ambaye anaishi na mamake,huyo mamake ana kipato kizuri sana ila Mimi kama mwanaume lazima nihudumie kwa hiki kidogo ninachopata,hii ni sawa
Sasa najiuliza nitumie njia gani kuweka akiba na nyingine ya matumizi iweze kumaliza mwezi
Then mwisho wa Siku nipate kamtaji nifanye biashara zangu
Msaada njia gani bora ya kuweka akiba na ku-manage huu mshahara wa laki 2?
Mwanzoni sikua naweka akiba yoyote coz kazi nikiyofanya ilikua ya kupata hela ya kula tu.
Kama mada inavyojieleza
Kuna sehemu nimepata kibarua,mshahara ni laki 2 na unatoka mapema kupitia bank
Sasa kupitia huu mshahara nina lengo la kudunduliza nipate mtaji,lakini kuna kitu kinanichanganya nahisi kama lengo langu halitatimia
Si kingine Bali ni namna gani niweze kuweka akiba,Nina mtoto ambaye anaishi na mamake,huyo mamake ana kipato kizuri sana ila Mimi kama mwanaume lazima nihudumie kwa hiki kidogo ninachopata,hii ni sawa
Sasa najiuliza nitumie njia gani kuweka akiba na nyingine ya matumizi iweze kumaliza mwezi
Then mwisho wa Siku nipate kamtaji nifanye biashara zangu
Msaada njia gani bora ya kuweka akiba na ku-manage huu mshahara wa laki 2?
Mwanzoni sikua naweka akiba yoyote coz kazi nikiyofanya ilikua ya kupata hela ya kula tu.