Ushauri: Najihisi kudharaulika na wanajamii

Ushauri: Najihisi kudharaulika na wanajamii

Siku hizi wanasema mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio labda wanasubiri uzuke ili wazuke na wewe, cha muhimu ni "habari" haijalishi ana umri gani, anayetaka kuamkiwa atakuambia "niamkie wewe" ndio uanze kumwamkia

Ok mkuu nimekusoma. Thanks!
 
Jamii inayokudharau ni ya kazini au hadi mtaani unakoishi?

Kazini mkuu...!Ila nimenotice hichi kitu hata kwa maeneo mengine unakuta mtu anakudharau bila sababu kisa unampa shkamoo..

Sasa kuanzia leo ni ''Habari" no shkamoo anymore
 
they are not interested on it..! I don't think if even they can be able to speak perfectly.

acha uoga dogo...salamu za shkamoo zinaishia kwa wazazi wako nyumbani...ukija mtaani kila mtu mdogo au mkubwa mwenzio.....pia unaweza kuwasalimia tu kama yule dogo aliyepiga salamu ya "whatsup manniga"....watakuelewa tuu.

Umesema huwa unaenda kazini kwa babako kumsaidia kazi..au nimekosea?...sasa kwa taarifa yako hilo nalo ni kosa lako kubwa linalopelekea salamu yako igombe....wewe ni threat/kitisho kwa ajira zao...mrithi wa mwenye mali anajifanya kutuzowea...baadae watakuwekea sumu ufe ili warithi office ya mzee wako.

It begins with you.....hivi mzee wako kwanini kaajiri wanawake wengi kuliko wanaume?...au anatimiza ile agenda ya 50/50...halafu kibaya zaidi unasema hata kizungu hawakijui?

Dogo sasa ukuwe...mwache mzee possibly na nyumba zake ndogo aendeshe maisha yake...njoo huku kitaa tukufundishe maisha...wengine ndio kina professor wa kitaalojia na wahitimu wa kwanza wa yunivesiti of hard knocks....ahahaha.

Natumai umenielewa...japo lugha iliyotumika ina ukakasi kwa mbali..ila usijali ndio ukubwa huooo.
Ndio...wewe mkubwa sasa...au ulisubiri kuona umekuwa mkubwa kama nilivyowahi kuutafuta mstari wa ikweta kenya na mstari wa greenwich acra ghana...miaka ya 90 wakati nasoma primary na secondary..
 
acha uoga dogo...salamu za shkamoo zinaishia kwa wazazi wako nyumbani...ukija mtaani kila mtu mdogo au mkubwa mwenzio.....pia unaweza kuwasalimia tu kama yule dogo aliyepiga salamu ya "whatsup manniga"....watakuelewa tuu.

Umesema huwa unaenda kazini kwa babako kumsaidia kazi..au nimekosea?...sasa kwa taarifa yako hilo nalo ni kosa lako kubwa linalopelekea salamu yako igombe....wewe ni threat/kitisho kwa ajira zao...mrithi wa mwenye mali anajifanya kutuzowea...baadae watakuwekea sumu ufe ili warithi office ya mzee wako.

It begins with you.....hivi mzee wako kwanini kaajiri wanawake wengi kuliko wanaume?...au anatimiza ile agenda ya 50/50...halafu kibaya zaidi unasema hata kizungu hawakijui?

Dogo sasa ukuwe...mwache mzee possibly na nyumba zake ndogo aendeshe maisha yake...njoo huku kitaa tukufundishe maisha...wengine ndio kina professor wa kitaalojia na wahitimu wa kwanza wa yunivesiti of hard knocks....ahahaha.

Natumai umenielewa...japo lugha iliyotumika ina ukakasi kwa mbali..ila usijali ndio ukubwa huooo.
Ndio...wewe mkubwa sasa...au ulisubiri kuona umekuwa mkubwa kama nilivyowahi kuutafuta mstari wa ikweta kenya na mstari wa greenwich acra ghana...miaka ya 90 wakati nasoma primary na secondary..

hahahaa ila nimekuereewaa mdau
 
Maofisini salaam nzuri ni habari za asubuhi au habari zenu
mpe shikamoo yule tu ambae unaona usipompa hiyo shikamoo atakwazika

kuna watu ukiwa;pa shikamoo wanaona unawaambia 'wamezeeka'
ndo maaana unawakwaza........watu hawapendi kuzeeka.....

na wengine wanaona unaondoa 'equal status' unajipeleka kwenye utoto
hivyo watashindwa kukuletea mazungumzo ya umri wao
 
Kama mtu hataki salamu, nawe usimsalimie. Mwambie tu oya niaje. akijibu poa, endelea na mambo yako.
 
Kizzy Wizzy

Yaani hbr ya dunia sijui mjini sasa ndio hiyooo eti shkamoo kamsalimie mama /baba aliyekuza... Mimi pia inanikwaza ila nimepata solution ya kuwa nawapuuza akikataa shkamoo nikiwakuta Nasema za asb jmn! za mjana wandunguu! habariii but shkamoo mpk nimdeku mtu saana au aniambie ujaamboo.. ndio ntamwambia sijambo shkamoo au sijambo kbs mpnz za kwako that only kwisha hbr yao 1wk tu ukianza utakuwa umeshaizoeyaa na shkamoo utaipeleka kwenu.

Hapo kweny RED ndo lugha gani hyo mkuu
 
Mie naweza kuwa tofauti.
Mleta mada itakuwa wewe ndio tatizo.
Unajidharau kabla ya kudharauliwa,halafu unajistukia mwenyewe.

Tatizo la pili ni malezi,watu hawawezi kukudharau woote kisa wewe unawaheshim.Sijaliona hilo kwangu tanga nazaliwa.

Itakuwa ulilelewa kimama saaana,sie tuliolelewa maisha ya kawaida basi huwa hatujali,na mbaya zaidi Baba yako atakuwa alichechelewa kuwa anakupeleka kazini kwake ili kuzoea mazingira ukiwa mdogo.Na ndio maana wapo wazazi wengine huwachukua watoto wao wadogo under 7 yrs kwa siku mara moja hasa Ijumaa,jomosi hasa siku za likizo kushindanao ofisini ili kuona majukum ya mzee na kuweka upendo,sasa watoto kama hao wakikuwa basi mazingira wanakuwa wameisha yazoe bila shida.

Kwa mtizamo wa mtu mwenye uelewa ni kwamba wewe ni mgeni wa mazingira ya kujichanganya,sasa tatizo lako ni binafsi na wala sio wafanyakazi.
 
Maofisini salaam nzuri ni habari za asubuhi au habari zenu
mpe shikamoo yule tu ambae unaona usipompa hiyo shikamoo atakwazika

kuna watu ukiwa;pa shikamoo wanaona unawaambia 'wamezeeka'
ndo maaana unawakwaza........watu hawapendi kuzeeka.....

na wengine wanaona unaondoa 'equal status' unajipeleka kwenye utoto
hivyo watashindwa kukuletea mazungumzo ya umri wao
Thanks mkuu kwa ushauri.
 
Rudi darasani, kwani utakapokuwa na elimu bora nzuri yenye kukuwezesha kufahamu mambo mengi hasa juu ya hicho unachoenda kumsaidia baba ako watakuheshimu.
 
Back
Top Bottom