Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
- Thread starter
- #21
Siku hizi wanasema mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio labda wanasubiri uzuke ili wazuke na wewe, cha muhimu ni "habari" haijalishi ana umri gani, anayetaka kuamkiwa atakuambia "niamkie wewe" ndio uanze kumwamkia
Ok mkuu nimekusoma. Thanks!