Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
...
Wasalimie kwa lugha ya Kiingereza...
Daah yaani mpaka inaniboa... Natamani nisiwasalimie lakini nashindwa!
Yaani hbr ya dunia sijui mjini sasa ndio hiyooo eti shkamoo kamsalimie mama /baba aliyekuza... Mimi pia inanikwaza ila nimepata solution ya kuwa nawapuuza akikataa shkamoo nikiwakuta Nasema za asb jmn! za mjana wandunguu! habariii but shkamoo mpk nimdeku mtu saana au aniambie ujaamboo.. ndio ntamwambia sijambo shkamoo au sijambo kbs mpnz za kwako that only kwisha hbr yao 1wk tu ukianza utakuwa umeshaizoeyaa na shkamoo utaipeleka kwenu.
Ukikutana na mtu usitoe salamu ya uoga, yani kumuona mtu tu unaanza shikamooo. No si sawa.
Anza Habari za asubuhi, au habari za mchana, akijibu ndio unakuja shikamooo, kiuta uzima zaidi.
Unaweza hata zungumza maneno matatu manne then shikamooo ifate
They are not interested on it..! i don't think if even they can be able to speak perfectly.
wengii ni wanawake..
Sasa nahisi wananidharau na kunishangaa, sasa kama hawataki nitumie hiyo salamu nitumie salamu gani..?na ni vipi ni-react nao ili wasiniletee dharau!
Cul on them
Wala usi-complicate mambo...
Simaanishi unachofikiria!! Just take it as normal..!
My bad if so.
quick questions man, dharau walizokuonyesha ni zipi? na kwanini unajali?
Maneno ya pembeni brother ambayo huwa wanayasema nisipokuwepo..
Mtu anaakuchukulia like u don't have something to tell/cooperate.. Or its like you can't do this u are a child!7
Yaani naichukia vibayaaa