Miongoni mwa mambo ninayopenda kufanya ni pamoja na kuwa mzungumzaji mbele za watu yaani masuala ya TAALUMA, mijadala ya kitaaluma. Lakini nakutana na vikwanzo mbali mbali kama vile:
Kwa wataalamu na watu wa saikolojia nawezaje kufikia malengo yangu?
- Kuonekana mjuaji yaani unajifanya unajua kila kitu.
- Kujipendekeza.
- Kuingilia mambo ya watu.
- Kutafuta sifa za kijinga, siyo kila kitu lazima uongee kama unajua kausha.
- Kuchekwa.
Kwa wataalamu na watu wa saikolojia nawezaje kufikia malengo yangu?