Usithubutu kwenda mpwayungu village kule Dodoma.Wakuu natafuta ni sehemu gani hasa mkoa wa dodoma vijijini ama wa morogoro vijijini niende ambapo nitaweza kupata kazi ndogo ndogo za viwanda vinavyohusiana na kilimo ama mashambani
Naskia dodoma kuna kiwanda cha mbolea kipo sehem gan mkuu nikajaribu kuangalia na hapo vibarua baruaUsithubutu kwenda mpwayungu village kule Dodoma.
Kuna ukame hatari sana!!!
Kama lengo ni Hilo, nenda Morogoro hasa Mlimba au ifakaraYoyote tu iliyo halali hata kulima mashamban sawa tu ilimrad maisha yaende,
Sawa mkuu shukrani sanaAisee kama ni vibarua Bora ukomae mjini, vijijini ukipewa kazi ya elf 5 shambani ujue utakomaa kweli kweli, nimelima msimu huu so naelewa
Kama unataka kukomaa kutumia nguvu kwenye machimbo madogomadogo ya dhahabu ukitulia unatengeneza pesa, kazi zipo nyingi tu
Ukikosa namna nicheki pm
Sehemu gani nzuri ya machimbo madogo madogo mkuu nikakomaeAisee kama ni vibarua Bora ukomae mjini, vijijini ukipewa kazi ya elf 5 shambani ujue utakomaa kweli kweli, nimelima msimu huu so naelewa
Kama unataka kukomaa kutumia nguvu kwenye machimbo madogomadogo ya dhahabu ukitulia unatengeneza pesa, kazi zipo nyingi tu
Ukikosa namna nicheki pm
Nenda MorogoroWakuu natafuta ni sehemu gani hasa mkoa wa dodoma vijijini ama wa morogoro vijijini niende ambapo nitaweza kupata kazi ndogo ndogo za viwanda vinavyohusiana na kilimo ama mashambani
Au nenda kwa Bagamoyo Sugar kwa BakhresaAisee kama ni vibarua Bora ukomae mjini, vijijini ukipewa kazi ya elf 5 shambani ujue utakomaa kweli kweli, nimelima msimu huu so naelewa
Kama unataka kukomaa kutumia nguvu kwenye machimbo madogomadogo ya dhahabu ukitulia unatengeneza pesa, kazi zipo nyingi tu
Ukikosa namna nicheki pm
Basi Mlimba, Ifakara na maeneo yote huko kunakolimwa na kukobolewa mpunga yatakufaa.Yoyote tu iliyo halali hata kulima mashamban sawa tu ilimrad maisha yaende,
Ukiwa na utayari sehmu ni nyingi utaunganishwa, kuna mwime, tambambare, mwakitolio, kakola ni wew tu na utayar wakoSehemu gani nzuri ya machimbo madogo madogo mkuu nikakomae
Haya yote yanapatikana kahama, na geita sa sijuh wew unaishi wapUkiwa na utayari sehmu ni nyingi utaunganishwa, kuna mwime, tambambare, mwakitolio, kakola ni wew tu na utayar wako
Nala, Tena walitoaga nafasi nyingi Sana za vibaruaNaskia dodoma kuna kiwanda cha mbolea kipo sehem gan mkuu nikajaribu kuangalia na hapo vibarua barua
Mkuu Kama mwime au mwakitolio kazi gani mtu ambae ni mgeni unaweza kufanyaUkiwa na utayari sehmu ni nyingi utaunganishwa, kuna mwime, tambambare, mwakitolio, kakola ni wew tu na utayar wako