hata cha darasa la nne hana halafu anataka akae na msomi mwenye elimu kubwaAnacheti cha kuzaliwa tuu
Uliolewa na Marioo. Mungu kakuonesha mchawi wako.Anacheti cha kuzaliwa tuu
Mama kesho nenda kwa mwenyekiti wa mtaa wako huko watakupa A-Z ya kudai haki yako. Wala usiwe mnyonge kwasbb hayo yalikuwa mambo ya zamani ya kumwambia mwanamke ondoka lkn kwass kuna haki za wanawake. Haki yako haijapotea 100%. Fanya km nilivyokuambiaMwanza
Lakini huyu mchawi kaja wakati mpaka sana na wakuchelewa.Uliolewa na Marioo. Mungu kakuonesha mchawi wako.
Mungu huwa hachelewi sana wala si mwenye kuwahi sana.Lkn huyu mchawi kaja wakati mpaka sana na wakuchelewa.
Kweli mkuua acha kabisa unaweza fikiri ulizaliwa kwa bahati mbayamaisha sikia kwa mwenzio tu
Anacheti cha kuzaliwa tuu
Daah umeliumbua asee kujifanya anajua kuongea shit, while alikuwa anambwela mbwela humu!Wakuu naombeni msaada wenu wa kisheria
Nahitaji msaada wa neno hili kwa Kiswahili
Nahitaji msaada juu ya swala hili kisheria
Hizi zote ni nyuzi zako ukiomba msaada je kuna aliyekujibu pumba humo. Acha roho mbaya
Basi ndo maana mwanaume kamili hawi hivi aseeHana kazi maalum
Haaa haaa umenifurahisha....uko kama Mimi ukiniuliza nafanya nini to survive hata sikujibu, nakuchoraa tuu...Hahahhahahahah nmecheka na mengi aiseee kuna wanaume wanapenda your career na sio wewe kama wewe ...... mimi just after uni nikapata sehemu ya intern baaadae nikaacha sababu niliiona hata nikiajiriwa hapo sitopata kile nakihitaj so baada kumwambia bf after 2 weeks nkaanza ona changes nikajua tayar nishaachwa ........ Aiseeee mpaka leo swali ninalo lichukia ni what are you doing for a living !!!! Mxeeew najibugi mim ni housegirl au kama umeniona maeneo ya kazi nitakamwimbia mim ni mfanya usafi thu wanagomaga.
Jipange tu mamii things will get better
Kama mwanza sawa tu sidiemu mmeipenda wenyewe bichwa mmempenda wenyewe uenda huyo mumeo akawa ni UKAWA anataka upambane na hali yakoMwanza
Haaa haaa umenifurahisha....uko kama Mimi ukiniuliza nafanya nini to survive hata sikujibu, nakuchoraa tuu...
Wanaume wengi wanapenda kazi yako na sio wewe, sasa umenipenda Mimi au kazi yangu! Mxiuuuu......