KILLANEKELI
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 295
- 123
Napenda kuwashauri wale ndugu zangu waliosoma course tofauti na uwalimu na wako mtaani wakizunguka na bahasha za kaki,
Kutokana na tatizo la ajira kugeuka kuwa janga la kitaifa na serikali imetangaza mwaka huu kuajiri zaidi ya walimu elfu 30 napenda kuwashauri ndugu zangu muombe kujishikiza ata private schools huku mkiendelea kufanya application ya field zenu.
Kwanini nasema hivyo, kwa sasa kuna waalimu wengi sana wamejishikiza private schools wakisubiri ajira serikalini hii inamaanisha kwamba shule za Private zitaenda kuwa na upungufu waalimu sasa hapo ndio muda wa nyie kuchukua nafasi,
Nina rafiki yangu alisoma PSPA akaomba shule moja ya private uku akikomaa kutafuta kazi ya taaluma aliyosomea mambo yalikuja kukaa sawa leo ni afisa utumishi wa wilaya moja ivi, kile kitendo cha kuwepo private school kilichangia kupata ajira ya taaluma aliyosomea ingawa alikuwa akipata mshahara wa kawaida lakini ilimsaidia kwa kiasi kikubwa wakati Wa kusafiri kwenda kufanya usahili.
Kutokana na tatizo la ajira kugeuka kuwa janga la kitaifa na serikali imetangaza mwaka huu kuajiri zaidi ya walimu elfu 30 napenda kuwashauri ndugu zangu muombe kujishikiza ata private schools huku mkiendelea kufanya application ya field zenu.
Kwanini nasema hivyo, kwa sasa kuna waalimu wengi sana wamejishikiza private schools wakisubiri ajira serikalini hii inamaanisha kwamba shule za Private zitaenda kuwa na upungufu waalimu sasa hapo ndio muda wa nyie kuchukua nafasi,
Nina rafiki yangu alisoma PSPA akaomba shule moja ya private uku akikomaa kutafuta kazi ya taaluma aliyosomea mambo yalikuja kukaa sawa leo ni afisa utumishi wa wilaya moja ivi, kile kitendo cha kuwepo private school kilichangia kupata ajira ya taaluma aliyosomea ingawa alikuwa akipata mshahara wa kawaida lakini ilimsaidia kwa kiasi kikubwa wakati Wa kusafiri kwenda kufanya usahili.