Ushauri: Msichana wangu anavaa vibaya

dah kweli wivu ni ugonjwa mbaya.
 
Dah kwahiyo umeamua uanzishe uzi wa kutongoza...eti laki mbili kila mwezi kwa ajili ya nguo[emoji23][emoji23]
 
we nae sio..yani mkeo akasagule Yale matambara pale mwenge?ebu kuwa serious
na vipi kuhusu papuchi yake,nayo haijarembwa?
 
Mi nikajua hajui kuvaa nguo mwilini kumbe anavaa lakini uzipendi.Nilijua labda anakuwaga UCHI.
 
Embu nyoosha maelezo anavaa kitom boy au nguo anazovaa huzipendi unataka avae kama wakina gigy au anavaa magagula kama m'bibi
 
Yaani vitu vingine buana,unampa hela hanunui nguo nzuri,kwa nini sasa wewe usiwe unamnunulia hapo mwenge umletee avae?,au umekuja kuleta tangazo la lift na kuhonga laki mbili ya kusuka?,au unataka ushauriwe nini?
 
Ipo siku.
Ukinununa unipe hata lift nitoe nuksi...
Nitakuwa nishaandaa ndugu zangu muhimbili nikizimia we utaniavha hapo th,hamna shida watanipokea.
Nalipenda kweli kweli hili gari.
 
Mkuu huyo ndio mtamu
Usimuamshe au akishaamka akajua na kuvaa vimini na vipedo akasuka na rasta hutomwona tena utaishia kumpigia Nyeto tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…