mmwamba
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 236
- 235
habari zenu wakuu,ninatatizo moja hapa linaniumiza kichwa mno.
suala ni kwamba nimemaliza diploma ya Computer Science and Engineering
na ufaulu wangu ni 3.3GPA.Mwaka huu nataka kuapply bachelor ya Petroleum Engineering
pale UDOM.sasa kikubwa ninachotaka kujua ni Je, ninaweza kupata iyo course nikiomba
au nitakosa kutokana na mimi kusomea computer??!!
Nawasilisha
suala ni kwamba nimemaliza diploma ya Computer Science and Engineering
na ufaulu wangu ni 3.3GPA.Mwaka huu nataka kuapply bachelor ya Petroleum Engineering
pale UDOM.sasa kikubwa ninachotaka kujua ni Je, ninaweza kupata iyo course nikiomba
au nitakosa kutokana na mimi kusomea computer??!!
Nawasilisha