Ushauri: Mpaka Tuoane Ndio Natoa skin-taiti....

Ushauri: Mpaka Tuoane Ndio Natoa skin-taiti....

Kuna shemeji huku kanikumbusha kitu amazing sana

Jaman naomba niwashauri kwa kifupi, wazee wa kudanga msije Dom mtaumia
Warembo wa huku wote ni akina Taiti nikisema hivi najua utakuwa ushanielewa
Ndio wameTaiti je, we kama ulifungua miguu wenzio wametaiti

Habari ya mjini Dom ni skin-taiti. ... sasa njoo na mikelele yako toka Dar shilawadu tunakuangalia tu... vepe!

Mabeibz ya Dom imejitunza balaa ukiingia kingi huchomoki unatangaza ndoa ... endelea kusema naniliihii zinatengeneza mjini sio kwetu Dom

Huku tunafanya Sherehe ash mchana usiku... shemeji kaikuta asbh kesho anawowa

Ni hayo tu bakini Dar, Dom Kuna wenyewe
Ps:
Usiempenda kafika!
Sawa binti wa kigogo.
 
Hamna lolote,hakuna mkate mgumu mbele ya chai abadan.
Na kulivyo kukame huko bila shaka mtakuwa mnaachia mpaka inakataa kurudi teh.
 
Hamna lolote,hakuna mkate mgumu mbele ya chai abadan.
Na kulivyo kukame huko bila shaka mtakuwa mnaachia mpaka inakataa kurudi teh.
Ivo eee
kujifariji kwingine bwana
I wish ungekuwa unaishi kwenye uhalisia sio kufikirika
 
Ivo eee
kujifariji kwingine bwana
I wish ungekuwa unaishi kwenye uhalisia sio kufikirika
Kumbe najifariji,kwa lipi mkuu.?
Kwa hali hii ya watu kuishi kama mashetani kuna kubana kweli hasa pale unapoona kuna grisi ya kulainisha vyuma?
 
Back
Top Bottom