The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,986
- 13,485
Nawashauri CCM na Samia kusitisha uchaguzi, kupendekeza iundwe serikali ya mpito ikiongozwa na jaji Warioba, kuwaomba radhi watanzania na kutubia ili mambo yaishe. Mmeshindwa, mmekataliwa na mmeona wenyewe. Shukrani kama mtasikiliza na kuzingatia ushauri huu mfupi na muhimu katika wakati huu ambapo mmeliweka taifa kwenye balaa tokana na laana ya kung'ang'ania madaraka wakati hamna udhu wala uwezo wa kutawala. Power comes from the people, and the voice of the people is the voice of God. Mwenye macho ajionee na mwenye masikio akisikie huku mwenye akili atie maanani. Game over mom.