Heri ya Meshack Nzowa ana afadhali na akili timamu kuliko Gerard Hando wa radio ya wafu anayefanya mambo kama kichaa. Ni vizuri kumkosoa mtu akikosea bahati mbaya kama Nzowa but Hando anakosea makusudi na kujifanya insane. All in all waandishi wa nchi hii ni wavivu sana kujisomea, amazingly hawajui mambo mengi sana.