Ushauri: Mchumba wangu ana maumbile makubwa

Ushauri: Mchumba wangu ana maumbile makubwa

Wewe unamtaka muoaji wakati wewe si muolewaji? kaa na huyo kibamia wako mwache jamaa atapata size yake
Yaap. Nakubaliana na ushauri huu kwa faida ya wote. Vinginevyo tutegemee magonjwa na umalaya. MTU una mchumba na tayari una hawara hii si kutafuta maradhi? Sasa akikuoa si ndiyo utagawa mtaa wote ukitafuta ya kukufurahisha!!!. Acha umalaya mrudie Mungu atakupa mchmba na Mme mwenye size yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepata mchumba japo simpendi sana anataka kunioa tatizo lake ana maumbile mkubwa kila tukifanya tendo naumia sana.

Nimejaribu kwa jamaa mwingine naona siumii naenjoy sana, huyu anaenifurahisha kitandani sijui kama ni muoaji au lah.

Iila huyu mwenye uume mkubwa hata nyumbani ameshaenda na wanampenda sana wazazi nimechanganyikiwa sijui nifanyeje japo ana hela na maisha mazuri ila tukisex naumwa sana.

Naombeni ushauri maana kuolewa nataka

Kama mmefanya kama mara 3 na bado unaumia acha kuolewa. Ataifanya iwe rambo halafu ikitokea akakuacha kumpata ambaye hatapwerepweta ni kazi utatukanwa sana.
 
Unforgettable, too much for you,

"Never stop learning because life never stop teaching"
 
Nimepata mchumba japo simpendi sana anataka kunioa tatizo lake ana maumbile mkubwa kila tukifanya tendo naumia sana.

Nimejaribu kwa jamaa mwingine naona siumii naenjoy sana, huyu anaenifurahisha kitandani sijui kama ni muoaji au lah.

Iila huyu mwenye uume mkubwa hata nyumbani ameshaenda na wanampenda sana wazazi nimechanganyikiwa sijui nifanyeje japo ana hela na maisha mazuri ila tukisex naumwa sana.

Naombeni ushauri maana kuolewa nataka
Nyie wanawake hamueleweki... Huyo anaekuridhísha leo kesho utasema ana Kibamia duh..
 
Nimepata mchumba japo simpendi sana anataka kunioa tatizo lake ana maumbile mkubwa kila tukifanya tendo naumia sana.

Nimejaribu kwa jamaa mwingine naona siumii naenjoy sana, huyu anaenifurahisha kitandani sijui kama ni muoaji au lah.

Iila huyu mwenye uume mkubwa hata nyumbani ameshaenda na wanampenda sana wazazi nimechanganyikiwa sijui nifanyeje japo ana hela na maisha mazuri ila tukisex naumwa sana.

Naombeni ushauri maana kuolewa nataka
Mh ulikofika SAS co kuzur

Yaan nakuuliza umeridhika umenambia unataman ata tuendelee kumbe ukiondoka unaend kujificha nyuma ya kibodi unantangaza duuh
 
Nimepata mchumba japo simpendi sana anataka kunioa tatizo lake ana maumbile mkubwa kila tukifanya tendo naumia sana.

Nimejaribu kwa jamaa mwingine naona siumii naenjoy sana, huyu anaenifurahisha kitandani sijui kama ni muoaji au lah.

Iila huyu mwenye uume mkubwa hata nyumbani ameshaenda na wanampenda sana wazazi nimechanganyikiwa sijui nifanyeje japo ana hela na maisha mazuri ila tukisex naumwa sana.

Naombeni ushauri maana kuolewa nataka
Km kuna mwanaume anaemuamini mwanamke wake kuwa anakula mwwnyewe ajifunze kitu hapa,hii ndo hali ilivyo kwa Dada zetu zama hizi
 
muache kaka wa watu usije kumpa stress bure .hujitambui.mara humpendi ,mara uume mkubwa .mara jamaa mwingine anakufurahisha. ? hueleweki una shida gani .endelea kukojozwa huko.mwanaume kama humpendi utaona anakuumiza tu maana huna nyege nae
Hawa ndo Dada zetu,ni balaa sana,wana mambo kibao,na hawajitambui wanataka nini ktk maisha yao,99.9%ya wanawake zama hizi wapo hivi
 
Nyie si mnacheka vibamia [emoji23][emoji23][emoji23]
Pambana nalo hilo hadi uzeeni
 
Back
Top Bottom