Ushauri Mchumba Mkurya Mbabe

Ushauri Mchumba Mkurya Mbabe

We nae hujakua vizuri yaani ushalipa mahali afu ndo unakuja kuomba ushauri ili iweje? Ukadai au?


Anyway weka ndani hana shida huyo na utashukuru siku 1 hawana shida hao na hakuna mkamilifu!
 
We nae hujakua vizuri yaani ushalipa mahali afu ndo unakuja kuomba ushauri ili iweje? Ukadai au?


Anyway weka ndani hana shida huyo na utashukuru siku 1 hawana shida hao na hakuna mkamilifu!
mahali imeshalipwa nusu kiongozi sio yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom