Ushauri: Matisho ya mpenzi wangu

Ushauri: Matisho ya mpenzi wangu

Mtafute umwambie afute kauli yake lasivyo utamchukulia hatua
 
Nimedate na huyu dada kwa miaka 5 sasa toka 1st year nikiwa UDSM.

Mimi ndiye niliyemtoa usichana wake tukiwa mwaka wa pili chuoni huku nikimuhaidi nitakua naye milele.

Alichukua damu yake iliyokua inamtoka kwa wakati ule akanipakaa shavuni huku akinena maneno haya.

#Huyu ndiye mume wangu na endapo atanisaliti basi akumbane na majanga yakiwepo magonjwa na misukosuko ya maisha # mwisho wa kunukuu.

Kwa kipindi kile sikuona shida juu ya hicho kiapo kwani nilikua nampenda sana.

Sasa tatizo limekuja sina mapenzi naye tena nataka ku move on (nilishaambiwa na mama usimuoe mtu usiyempenda kisa umemuonea huruma).

Tatizo linalonitatiza ni kile kiapo alichoniapisha wandugu.

Swali langu je ni kweli?

Au matisho tu?

wewe unastahili kupata majanga makubwa tu
yani umemchezea kwa miaka yote hiyo alafu unakuja kusema huna mapenzi nae? c ni wewe ndo umesema umemzimikia sasa umezinduka au?
 
wewe unastahili kupata majanga makubwa tu
yani umemchezea kwa miaka yote hiyo alafu unakuja kusema huna mapenzi nae? c ni wewe ndo umesema umemzimikia sasa umezinduka au?


Kuchezewa kivipi?
Hii kauli sijui wanamaanisha nini? .Kwani kazi ya ile kitu toka uumabaji wake kazi yake ni nini?.
 
Mtose tu.....we tokalin mwanaume rijali ukawa na demu mmoja....hata nature inakataa ....we chukua mwingune na hakuna lolote

We nkichwa maji kweli wewe hivi unaona kubadili hawa dada zetu kama raba ndo ujirijar??
 
Kuchezewa kivipi?
Hii kauli sijui wanamaanisha nini? .Kwani kazi ya ile kitu toka uumabaji wake kazi yake ni nini?.

kumbe na wewe ndo wale wale
umesha pita na wangapi hadi sasa???
 
hapo ukute kila w-end ulikuwa unagegeda........umemchosha bint wa watu afu eti leo ndo humpend tena? hovyoooo
 
kumbe na wewe ndo wale wale
umesha pita na wangapi hadi sasa???


Mbona hujaongeza nao wamepita kwa wangapi?

Tendo la Ndoa ni hitaji la kila mmoja me vs ke na hakuna kumchezea mwingine ni mchezo kama michezo mingine-ukiamua kushiriki kwa hiari hakuna hizi lugha kuchezewa!.
Mie sijui hesabu zangu!

Je we wamekupitia au umewapitia wangapi?
 
kiapo chenyewe mlikua kwenye zina. hamna biblia wala msahafu. unachokiogopa nini?
 
Ulipomtoa usichana akageuka mvulana!!
 
Ha ha ha ha
Wewe unamini nini mkuu?
Kama unamini kwenye hivo viapo ni wazi utapatwa na misuko suko ila kama haumini hizo imani basi utaishi pouwaa tu

Lakin kiapo cha damu mhhh ngoja aje mkuu Mshana Jr

Kilifanyika katikati ya mapenzi mazito na kwa ridhaa asikudanganye mtu maneno yanaumba na balaa la kwanza litaanzia hapo shavuni
 
Hivi ni lazima uolewe na aliyekutoa bikra?? Angefanya kautafiti kadogo angegundua ni wanawake wachache sana waliobahatika kuolewa na waliowatoa bikira na angeachana na habari ya kumlaani mwenzie!
 
Lazima yakupate mazito na uache kuchezea watoto wa watu.
 
Back
Top Bottom