Ushauri: Matisho ya mpenzi wangu

Ushauri: Matisho ya mpenzi wangu

Nimedate na huyu dada kwa miaka 5 sasa toka 1st year nikiwa UDSM.

Mimi ndiye niliyemtoa usichana wake tukiwa mwaka wa pili chuoni huku nikimuhaidi nitakua naye milele.

Alichukua damu yake iliyokua inamtoka kwa wakati ule akanipakaa shavuni huku akinena maneno haya.

#Huyu ndiye mume wangu na endapo atanisaliti basi akumbane na majanga yakiwepo magonjwa na misukosuko ya maisha # mwisho wa kunukuu.

Kwa kipindi kile sikuona shida juu ya hicho kiapo kwani nilikua nampenda sana.

Sasa tatizo limekuja sina mapenzi naye tena nataka ku move on (nilishaambiwa na mama usimuoe mtu usiyempenda kisa umemuonea huruma).

Tatizo linalonitatiza ni kile kiapo alichoniapisha wandugu.

Swali langu je ni kweli?

Au matisho tu?
Si Ulimuhaidi Utakua Nae Milele Lakinu?? Hivi Nafsi Yako Haikusuti Hata Kidogo??? !!!
 
Kiapo ni hatari sana jamani. Nina ndugu yangu kiapo kinamtafuna coz akimwapia mwenza wake hatokaa amsaliti. Sasa yule mwenza wake kawa kiwembe hashikiki. Sasa yeye jufanya revenge hawez coz alishaapa. Haya ni majanga kwa kweli
 
Hicho ni kiapo cha damu, aliekuapiza anaweza kukitengua kwa kanuni ile ile....

Ila??? Kwanini unataka kumtosa?? ....that is not fair!!! Ulimpenda na mmekuwa pamoja kwa miaka mitano, It's long time!!!

Anaweza kuku-set free na ukajutia maishani....kama vipi tupia ndani maisha yenyewe ndo haya.

Kuna watu wanatafuta bahati hizo hawazipati!!!

Kila la Kheri. I'm out
 
Hizi kauli za umemchezea au umemtumia binti wa watu sizikubali...lile tendo ni ridhaa ya watu wawili na mnaposhiriki kila mtu anapoteza calories za kutosha tu...
Unachopaswa kufanya mzee ni toba mbele ya mungu wako coz mmefanya uzinzi kwa miaka 5..muombe mungu akuonyeshe aliye wa ubavu wako..
Ataumia sana huyo binti kwasasa ila atakuwa amekwepa longterm effects nyingi endapo utamuoa kwa huruma au fadhila
 
Back
Top Bottom