Wonders Of The World!! Hii Michezo Sijui Itaisha Lini??kile kiapo ndo kitanzi chako. kwanini ulimchezea binti wa watu for five years? leo unataka kumove on
!!Si Ulimuhaidi Utakua Nae Milele Lakinu?? Hivi Nafsi Yako Haikusuti Hata Kidogo???Nimedate na huyu dada kwa miaka 5 sasa toka 1st year nikiwa UDSM.
Mimi ndiye niliyemtoa usichana wake tukiwa mwaka wa pili chuoni huku nikimuhaidi nitakua naye milele.
Alichukua damu yake iliyokua inamtoka kwa wakati ule akanipakaa shavuni huku akinena maneno haya.
#Huyu ndiye mume wangu na endapo atanisaliti basi akumbane na majanga yakiwepo magonjwa na misukosuko ya maisha # mwisho wa kunukuu.
Kwa kipindi kile sikuona shida juu ya hicho kiapo kwani nilikua nampenda sana.
Sasa tatizo limekuja sina mapenzi naye tena nataka ku move on (nilishaambiwa na mama usimuoe mtu usiyempenda kisa umemuonea huruma).
Tatizo linalonitatiza ni kile kiapo alichoniapisha wandugu.
Swali langu je ni kweli?
Au matisho tu?
!!!Kuchezewa kivipi?
Hii kauli sijui wanamaanisha nini? .Kwani kazi ya ile kitu toka uumabaji wake kazi yake ni nini?.
tatizo wanakula viapo ila hawajui wanataka nini haya ndo madhara yake.Wonders Of The World!! Hii Michezo Sijui Itaisha Lini??![]()
![]()
!!
Sio Fear!!!tatizo wanakula viapo ila hawajui wanataka nini haya ndo madhara yake.
fear tu. mtoa mada ndo inamsumbuaSio Fear!!!
Tena yamuandame kila dakika.
Umeona eeeh hapo usikute kashapata chungu kipya
Alafu ndio ajifanye hampendi tena, yaani aandamwe hadi anaingia kaburini