nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 290
- 237
Yamenifika hapaa . .ndo maana nmekuja kwenu wadauUmepakwa damu unaangalia leo unakuja kuomba ushauri pole ndio ishakuwa laana kwako karibu uone
:what:Hadithi yako inatufundisha nn
Nape nauye
Five good years leo huna mapenzi nae
Nimedate na huyu dada kwa miaka 5 sasa toka 1st year nikiwa UDSM.
Mimi ndiye niliyemtoa usichana wake tukiwa mwaka wa pili chuoni huku nikimuhaidi nitakua naye milele.
Alichukua damu yake iliyokua inamtoka kwa wakati ule akanipakaa shavuni huku akinena maneno haya.
#Huyu ndiye mume wangu na endapo atanisaliti basi akumbane na majanga yakiwepo magonjwa na misukosuko ya maisha # mwisho wa kunukuu.
Kwa kipindi kile sikuona shida juu ya hicho kiapo kwani nilikua nampenda sana.
Sasa tatizo limekuja sina mapenzi naye tena nataka ku move on (nilishaambiwa na mama usimuoe mtu usiyempenda kisa umemuonea huruma).
Tatizo linalonitatiza ni kile kiapo alichoniapisha wandugu.
Swali langu je ni kweli?
Au matisho tu?
Yamenifika hapaa . .ndo maana nmekuja kwenu wadau
Five good years leo huna mapenzi nae na majanga yakukute tu
Hongera kwa kufanya kazi tigo.
Kabla sijatiririka.....
Ulipombikiri huyo binti damu ilikuwa inamtiririka eeeh????
Pia alikuwa na nguvu na uwezo na guys za kuwekeana viapo?
aiseee......Exactly that z wat I ment
Nimedate na huyu dada kwa miaka 5 sasa toka 1st year nikiwa UDSM.
Mimi ndiye niliyemtoa usichana wake tukiwa mwaka wa pili chuoni huku nikimuhaidi nitakua naye milele.
Alichukua damu yake iliyokua inamtoka kwa wakati ule akanipakaa shavuni huku akinena maneno haya.
#Huyu ndiye mume wangu na endapo atanisaliti basi akumbane na majanga yakiwepo magonjwa na misukosuko ya maisha # mwisho wa kunukuu.
Kwa kipindi kile sikuona shida juu ya hicho kiapo kwani nilikua nampenda sana.
Sasa tatizo limekuja sina mapenzi naye tena nataka ku move on (nilishaambiwa na mama usimuoe mtu usiyempenda kisa umemuonea huruma).
Tatizo linalonitatiza ni kile kiapo alichoniapisha wandugu.
Swali langu je ni kweli?
Au matisho tu?
Sikulaumu hata mm inanitokea nimekuwa nae kwa starehe lakini kaniganda huyoo balaa.mpaka anataka nimpe mimba,tatizo hayupo kwenye plan,na kiapo tulichokula kwamba endapo nitalala na mwanamke mwingine nigandiane nae sehemu za siri mpaka aje anichape bakora 10,000