TehMpelekee body splash moja nzuri!kumbe nyie bado mpo!!!!!!!!
Atakwambia iphone siku ya kwanzaMpe iPhone baab
Kwani mkuu huyo ndio mwanamke wa kwanza kukutana nae jaman ebu jiamini tu usiogope muone wa kawaida tu sababu bado hamjazoeana kihivyo
Hakunaga manjonjo zaidi ya story kunywa na kula mkimaliza mrudishe hivyo yaan au kama una mihela yako mpe hela tu sawa mkuu jiamini bana
Ha ha ha haaKama uko Dar, zama Mwenge pale ukamnunulie raba moja au moka moja saafi. Pia mfungie vitu vya kutafuna tafuna kama chocolate, biscuts za eat some more n.k... Pia kabla hamjakutana mchek kwenye simu umtumie elfu ishirini ya kukodi bajaji. Mkikutana itakuwa ni bashasha mwanzo, mwisho...
Ahahhh ujue ameshaanza kumuogopa huyo demu hapo tu hawajakutana wakikutana je nawaza tu atakuwa domo zege mkuu nisamehe kwa hii kauli kama nimekukwaza ila jiamini bana be a man uwe wa kawaida usiogope kituhahahah shoga labda kisu kikali anaogopa kukipoteza! lol.. ampelekee sehem decent km anaendana na wadhifa huo! ale anywe!,,hahaha sio nafika hotelini unauliza had bei ya soda !ptu
Ahahhh ujue ameshaanza kumuogopa huyo demu hapo tu hawajakutana wakikutana je nawaza tu atakuwa domo zege mkuu nisamehe kwa hii kauli kama nimekukwaza ila jiamini bana be a man uwe wa kawaida usiogope kitu
Ahahhah halaf umkute yupo safiiii utajihisi upo peke yako ulimwenguni ujue sio domo zege pangu pakavunakweli wanakuwaga domo zege.. hahaha had raha..
Usiseme hivo bana, jamaa kisha andaa jeans, t-shirt, Raba yake na amenyoa

Ndo siku yenyewe ya kijikombea ujikoAtakwambia iphone siku ya kwanza
Oooh nitapanda Uber (in chikunde voice)Poa poa. Ni inbobo no yako ya mpesa au tigopesa nikutumie nauli kabisa ili uwe na uhakika wa safari...
Alafu, utapanda bodaboda, Bajaji au UBER? Niambie kabisa nijue utatumia usafiri gani ilie nijue nakutumia sh ngapi...
Ha ha haa! She isn't of the caliber u're trying to think she is of or vest her with. She's high cultured, anyway. Kwa hiyo nitamtendea haki yake accordingly... Ha haahahahah shoga labda kisu kikali anaogopa kukipoteza! lol.. ampelekee sehem decent km anaendana na wadhifa huo! ale anywe!,,hahaha sio nafika hotelini unauliza had bei ya soda !ptu
Usijali. Your bills will be covered!Oooh nitapanda Uber (in chikunde voice)
Nakuombea iishe vema pia