Ndugu yangu, kua makini sana unapoenda kushauriana nae. Wazee wengi hua hawajawahi kushika kiasi kikubwa hivo cha pesa maisha yao yote, so wakiipata ni kma wanachanganyikiwa. Kua makini na ushauri utakaompa maana in any way ukibuma anakulaani. Kama akipewa hyo hela mwambie 75% aweke benki tena fixed japo miez 6, af ingine aanze kuichoma ili azoee.
Bahati mbaya hua hawasikilizi utadhani watakufa kesho