Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,091
Chukulia Mfano mtu anatoka Moshi Jumatatu anatumia siku nzima kuja Dar, akifika analala gharama ya Malazi, Jumanne anaenda Kariakoo ananunua mzigo anarudi kulala Jumatano anapanda basi kurudi Alhamisi ndio anakuwepo Moshi .
Wakati Mkenya aliyepo Kisumu au Kisii anashinda Jumatatu akifanya biashara saa Moja usiku anapanda basi Jumanne asubuhi Anaanza shoping Nairobi na Jioni anapanda basi kurudi, Jumatano yupo kwenye biashara Kisumu
Wapi tutakaa tuwakute wakati yeye hapo hana gharama za Lodge wala muda
Wakati Mkenya aliyepo Kisumu au Kisii anashinda Jumatatu akifanya biashara saa Moja usiku anapanda basi Jumanne asubuhi Anaanza shoping Nairobi na Jioni anapanda basi kurudi, Jumatano yupo kwenye biashara Kisumu
Wapi tutakaa tuwakute wakati yeye hapo hana gharama za Lodge wala muda