Ushauri kwenu vijana wote

Ushauri kwenu vijana wote

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,788
Reaction score
5,027
Kutokana na changamoto ambazo nimepitia nimegundua akili ya mtu inahitaji utulivu zaidi ili ikupe kitu kilicho bora zaidi.

Pamoja na kuwa akili inahitaji utulivu kitu kingine mwanadamu anatakiwa kuwa nacho ni uvumilivu toa papara kwenye mambo yako hata kama unashindana na watu wa namna gani wewe chukulia fresh tu usiipe akili yako uzigo wa kufikiria saana utakuja kufa bwege wewe.

Nakumbuka miaka Kazaa apo nyuma nilikuwa na ugonjwa wa kitu kinacho itwa serious.

Ichi kitu kilinitesa saana mpaka nilikuwa na fikiria kwenda kwa waganga ili mambo yangu yawe yanatimia kwa wakati.

Ila kwa bahati nzuri ugonjwa uo ulipona kitu kingine acha kuwa serious utakuja kufa Kuna mambo mengine yachukulie poa tu ili kuepusha kujipa majukumu ambayo yatakuletea stress hapo badae.

Jifunze kushindwa pia usipende kushinda kila siku utakuwa Michawi siku moja

Asanteni
 
Umeeleweka vizuri sana, ila kulinda afya yako lazima userious uzingatiwe mfano kula mlo kamili na kwa wakati . Hayo mingine take it easy, live stressless.
 
Hivi huko shule ndipo mnafundishwa kuandika hivi?👇

"Ichi kitu kilinitesa saana mpaka nilikuwa na fikiria kwenda kwa waganga ili mambo yangu yawe yanatimia kwa wakati
Ila kwa bahati nzuri ugonjwa uo ulipona 👉kitu kingine acha kuwa serious utakuja kufa Kuna mambo mengine yachukulie poa tu ili kuepusha kujipa majukumu ambayo yatakuletea stress hapo badae
👉Jifunze kushindwa pia usipende kushinda kila siku utakuwa Michawi siku moja"
 
Liuzi lenyewe limeandikwa kimagumashi Sana utadhani mwandishi alikuwa anakimbizwa
 
Back
Top Bottom