what is a role mode??kibonde is my role mode
yeah NN, some JF member cant sleep, cant eat, can poop, cant even shag till they hear or see Kibonde.... He is like an addictive pill to these dudes
wamwache kibonde washike yao, he is paid to do what he does, now does rosemarie get paid to eat, dream, sleep, talk Kibonde??? HELL NO
New operating system in town from THT!what is a role mode??
No wonder,you r the first to comment NN!Now I concede Kibonde is the man with the masterplan.
<br><br><span style="color:#0000ff;"><strong>Itakusaidia nini???</strong></span><br><strong>kama boss wake haoni afanyacho <br>you cant change anything</strong><span style="color:#ff0000;">nafikiri itakuwa vema</span> kama akifanya kazi na mature experience kuliko watoto wadogo
nafikiri itakuwa vema kama akifanya kazi na mature experience kuliko watoto wadogo
Ni kweli wakati ule yuko Habash Gadner alikuwa ana mcontrol kiasi kikubwa sana, jamaa (habash) yuko makini sana more than Kibonde. ilikuwa akianza kutoka nje ya mada (kuingiza personal feelings) jamaa anacut off, hivo muda wote kubaki ktk mada husika. Ukweli kipindi kile "Jahazi" kimepwaya sana baada ya gadner kuondoka.
Duh! Pls don't bring attention to him if he irks you, he's now on his way to being a celeb here, mpotezeee tu