Yuyo Ahumile Shamalendi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 993
- 782
Wana Jf habari, ngoja niende kwenye mada moja kwa moja
Kama kichwa husika hapo juu, nimeamua leo nitoe ushauri kwa Wizara yetu ya Afya kuhusu wataalamu wa maabara, naomba niseme hivi ili kuondoa mkanganyiko wa wagonjwa tunaomba Wizara yetu ya Afya ibadili utaratibu wa maabara na wataalamu wake.
Angalau maabara iwe na wataalamu wasiopungua watatu huku wakiwa kila mtu na vitendea kazi vyote vya maabara.
Kwani kumekua na usumbufu mkubwa kwa wagonjwa kupimwa na kukutwa hawana ugonjwa wakati huo mgonjwa yuko hoi, ila atakapoondoka na kwenda Hosipitali nyingine akipimwa anakutwa na ugonjwa kwa vile vile vitu walivyompima kwenye Hospitali ya kwanza, sasa hii tuseme ni ubovu wa vipimo au wataalamu?
Ndiyo maana nikasema wawepo wataalamu wasiopungua watatu na vitendea kazi kila mtu awe navyo ili kila mtu ajirishishe kwenye vyombo vyake kama ni kweli hamna ugonjwa.
Nawasilisha
Kama kichwa husika hapo juu, nimeamua leo nitoe ushauri kwa Wizara yetu ya Afya kuhusu wataalamu wa maabara, naomba niseme hivi ili kuondoa mkanganyiko wa wagonjwa tunaomba Wizara yetu ya Afya ibadili utaratibu wa maabara na wataalamu wake.
Angalau maabara iwe na wataalamu wasiopungua watatu huku wakiwa kila mtu na vitendea kazi vyote vya maabara.
Kwani kumekua na usumbufu mkubwa kwa wagonjwa kupimwa na kukutwa hawana ugonjwa wakati huo mgonjwa yuko hoi, ila atakapoondoka na kwenda Hosipitali nyingine akipimwa anakutwa na ugonjwa kwa vile vile vitu walivyompima kwenye Hospitali ya kwanza, sasa hii tuseme ni ubovu wa vipimo au wataalamu?
Ndiyo maana nikasema wawepo wataalamu wasiopungua watatu na vitendea kazi kila mtu awe navyo ili kila mtu ajirishishe kwenye vyombo vyake kama ni kweli hamna ugonjwa.
Nawasilisha