Jambo hilo haliwezi kupita, baba na mama wenye nyumba wengi ni watumishi wa umma na watunga sera, lingekuwa linatuhusu akina chakubanga peke yetu tungekuwa tulisha anza kusulubiwa.Kwa muda mrefu Serikali imeshindwa kusimamia kwa ukamilifu ukusanyaji wa kodi katika majengo ya kibiashara. Kuna nyumba nyingi sana mijini na vijijini zinafanya biashara ya upangishaji ila hazilipi kodi kutokana na kipato inachoingiza. kwa hesabu za haraka bei ya nyumba za kujitegemea za kupanga mijini ni kuanzia sh. 150,000 hadi 400,000 kwa mwezi kwa nyumba za kawaida na hizi ndio nyingi, ingawa zipo nyumba zinaenda hadi sh. 6,000,000 kwa mwezi.Nyumba nyingine zinapangishwa kwa vyumba, chumba kimoja sh. 20,000 hadi 50,000 kwa mwezi na unakuta nyumba moja inavyumba kama 4 hadi 10+. Kuna vyumba vya biashara bei yake ni sh. 50,000 hadi 500,000 kwa mwezi.
Nashauri yafuatayo:
1. Serikali iachane na ukusanyaji wa hizi kodi kwa mfumo wa withholding tax
2. Kila nyumba ilipe kodi ya 10% kama inavyotozwa kwenye withholding tax
3. Serikali ibadirishe sheria ya ukusanyaji kodi, kuwa biashara zenye mauzo chini y ash. 4,000,000 zisilipe kodi, nyumba za biashara ziondolewe kwenye hii sheria
4. Kila nyumba inayofanya biashara ya kupangisha ipewe TIN
5. TRA iongezewe nguvu ya ukusanyaji wa hizi kodi
Kwa magufuli akilivalia njuga naamini wote tutaisoma namba kwa pamoja
Wanajuaje kuwa hiyo ni nyumba ya biashara?Wamechukua kwenye kodi ya ardhi tayari,
Unataka mtu alipe kodi wakati jengo linalipa huduma za maji umeme na mengineyo....na huyo mpangaji ushamkata payee na bado unamkata kodi ya ardhi....fikiri mara 2 kabla ya kuja na hoja za kishuleshule.kodi ya ardhi ni kidogo sana ukilinganisha na gharama za upangaji
Zile nyumbu zilishabikia sana hili swala early 2016, sielewi labda boss wao alizifunga break au ziligundua zipo OPKwa muda mrefu Serikali imeshindwa kusimamia kwa ukamilifu ukusanyaji wa kodi katika majengo ya kibiashara. Kuna nyumba nyingi sana mijini na vijijini zinafanya biashara ya upangishaji ila hazilipi kodi kutokana na kipato inachoingiza. kwa hesabu za haraka bei ya nyumba za kujitegemea za kupanga mijini ni kuanzia sh. 150,000 hadi 400,000 kwa mwezi kwa nyumba za kawaida na hizi ndio nyingi, ingawa zipo nyumba zinaenda hadi sh. 6,000,000 kwa mwezi.Nyumba nyingine zinapangishwa kwa vyumba, chumba kimoja sh. 20,000 hadi 50,000 kwa mwezi na unakuta nyumba moja inavyumba kama 4 hadi 10+. Kuna vyumba vya biashara bei yake ni sh. 50,000 hadi 500,000 kwa mwezi.
Nashauri yafuatayo:
1. Serikali iachane na ukusanyaji wa hizi kodi kwa mfumo wa withholding tax
2. Kila nyumba ilipe kodi ya 10% kama inavyotozwa kwenye withholding tax
3. Serikali ibadirishe sheria ya ukusanyaji kodi, kuwa biashara zenye mauzo chini y ash. 4,000,000 zisilipe kodi, nyumba za biashara ziondolewe kwenye hii sheria
4. Kila nyumba inayofanya biashara ya kupangisha ipewe TIN
5. TRA iongezewe nguvu ya ukusanyaji wa hizi kodi
Kwa muda mrefu Serikali imeshindwa kusimamia kwa ukamilifu ukusanyaji wa kodi katika majengo ya kibiashara. Kuna nyumba nyingi sana mijini na vijijini zinafanya biashara ya upangishaji ila hazilipi kodi kutokana na kipato inachoingiza. kwa hesabu za haraka bei ya nyumba za kujitegemea za kupanga mijini ni kuanzia sh. 150,000 hadi 400,000 kwa mwezi kwa nyumba za kawaida na hizi ndio nyingi, ingawa zipo nyumba zinaenda hadi sh. 6,000,000 kwa mwezi.Nyumba nyingine zinapangishwa kwa vyumba, chumba kimoja sh. 20,000 hadi 50,000 kwa mwezi na unakuta nyumba moja inavyumba kama 4 hadi 10+. Kuna vyumba vya biashara bei yake ni sh. 50,000 hadi 500,000 kwa mwezi.
Nashauri yafuatayo:
1. Serikali iachane na ukusanyaji wa hizi kodi kwa mfumo wa withholding tax
2. Kila nyumba ilipe kodi ya 10% kama inavyotozwa kwenye withholding tax
3. Serikali ibadirishe sheria ya ukusanyaji kodi, kuwa biashara zenye mauzo chini y ash. 4,000,000 zisilipe kodi, nyumba za biashara ziondolewe kwenye hii sheria
4. Kila nyumba inayofanya biashara ya kupangisha ipewe TIN
5. TRA iongezewe nguvu ya ukusanyaji wa hizi kodi
Hivi kwa nini watu wanapenda kujikatisha tamaa kabla hata hawajajaribuTatizo huwajui wamiliki au unajisahaurisha kwa makusudi!?
Jiulize, ni kwa nini nyumba zingine zinabomolewa zingine hazibomolewi!?
Mfano, zilizo kwenye fukwe za bahari au hifadhi za barabarani!?
Kwa nini, mashamba ya wengine yasiyoendelezwa yalichukuliwa tena kwa/mbwembwe na matarumbeta wakati baadhi ya watu mashamba yao hayakuchukuliwa na hadi leo hajaendelezwa!?
Kazi njema mkuu.
Hii haitawaathiri wenye nyumba. Kama anataka kodi ya 50,000 au juu basi atapangisha kwa 60,000.wafanyakazi wa TRA wale mabosi ndio wamiliki wa hizo nyumba nyingi wanaanzia wapi kuweka utaratibu utakaowabana..
unajua mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi ndio wamiliki wa nyumba nyingi za kupanga... so hili jambo kufanikisha ni ngumu kuliko unavyofikiri
Kweli kabisaMtihani sana. Kuna mtu wangu wa karibu anafanyabiashara mtaa wa Congo Kariakoo. Analipa pango la nyuma kasehemu kadogo tu cha upana wa mita moja na nusu anapangishwa kwa Tshs 500,000. Nilipomuuliza je mpangaji analipa kodi katika pesa ya pangi unayomlipa? Jibu likwa ndio lakini tunashusha hadi Tshs 150,000 badala ya Tshs 500,000 kwa mwezi. Nilipomuuliza kwanini unampunguzia, akaniambia kuwa akikatwa kodi kutokana na pango la Tshs 500,00 ninayomlipa, mimi pia TRA wataikadiria biashara yangu nilipe kodi ya juu inayolingana na kipato ninachopata kinachoweza kulipa pango la Tshs 500,000 kwa mwezi. Kwahiyo hili suala linahitaji usimamizi na uchubguzi wa hali ya juu sana. Believe me, Kariakoo tu peke yake kama TRA ikisimamia vizuri kwa ufanisu Mkubwa kutokana na data nilizopewa na rafiki yangu anayefanyakazi TRA kitengo cha quality system auditing anakili kuwa mapata yanayoweza kupatikana pale pekee yake yanazidi mikoa mitani ya kusini akaenda mbal kwakusema hata TRA wakiamua kufunga ofisi zao zote za hiyo mikoa mitano na walete wale wafanyakazi waje Kariokoo Serikali itapata zaidi.