Bavarian8
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 656
- 1,433
Wanawake wanawake,wasichana, wasichana ,wanalika Leo jamani tuache utani duuuuuuh!!!! Nipo hapa mwenge Kuna guest moja opposite na NMB hapa yaani jamaa anaehudumu katika guest hii ni mshikaji wangu sasa nimekuja hapa anaambia toka asubuhi n mchakamchaka tu ,wengine ni wake za watu kabisa tunawajua wanatafunwa anaingia huyu anatoka duuuuh!! hii ni Noma sana
USHAURI:
Kwa mabaharia,wanaume au vijana kumbukeni tu condom manake Kuna demu mmoja kaingizwa hapa saivi na tunamjua kabisa kuwa ni positive na jamaa anadunda nae tu ndani.
N.B kumbukeni kondomu tu jaman msiuze mechi ohooooo, ni hatari sana wananzengo
Haya mimi nashauri tu ingawaje na mimi ni rijali pia Ila najikaza
By
Hon,.sir.chief ,igwe,Prof, Mobutu sese seko kuku ngwendu wazabanga
Sent using Jamii Forums mobile app
USHAURI:
Kwa mabaharia,wanaume au vijana kumbukeni tu condom manake Kuna demu mmoja kaingizwa hapa saivi na tunamjua kabisa kuwa ni positive na jamaa anadunda nae tu ndani.
N.B kumbukeni kondomu tu jaman msiuze mechi ohooooo, ni hatari sana wananzengo
Haya mimi nashauri tu ingawaje na mimi ni rijali pia Ila najikaza
By
Hon,.sir.chief ,igwe,Prof, Mobutu sese seko kuku ngwendu wazabanga
Sent using Jamii Forums mobile app