Ushauri kwa wapinzani kuelekea mwaka 2020

Ushauri kwa wapinzani kuelekea mwaka 2020

Ushauri mzuri wakiutekeleza,ila swali ni je kama UKUTA walishindwa kuusimamisha hilo wataliweza?

..ni kweli unachosema.

..Mbowe Mashinji na Lowassa ni waoga.

..Upinzani unahitaji watu majasiri kama Tundu Lissu, Lijualikali, Mdee, kushika hatamu za uongozi.
 
..ni kweli unachosema.

..Mbowe Mashinji na Lowassa ni waoga.

..Upinzani unahitaji watu majasiri kama Tundu Lissu, Lijualikali, Mdee, kushika hatamu za uongozi.
Ukweli ni huo.Inahitajika timu ambayo wamejitoa: kunyamaza kwao ni hadi wawe wafu...
 
Wasisahau kuandaa na yale ya;
1. Nina ushahidi wa ufisadi wa richmond dhidi monduli,
2. Nashangaa vibaka wanachomwa na fisadi papa likiachwa linapeta,
3. Ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi;
4. Anayemsapoti fisadi naniliuu akapimwe akili;
5. Sisiemu wamempa fisadi form ya kugombea urais, ni hatari.
6. Etc

Sasa hili inabidi mlifanye nyie maana wakifanya wa upande mmoja haitanoga. Au wewe mgeni wa siasa?
 
..ni kweli unachosema.

..Mbowe Mashinji na Lowassa ni waoga.

..Upinzani unahitaji watu majasiri kama Tundu Lissu, Lijualikali, Mdee, kushika hatamu za uongozi.

Kula tano mwanangu, ukiwa mpinzani kwenye nchi za kiafrika kuwa kiongozi muoga ni kama kupoteza muda wako bure. Tena huyo Lowassa na Mashinji ndio bure kabisa, mbaya zaidi hata kucheza na jukwaa kwa kutema madini ya ukweli hawawezi.
 
Imeshakula kwenu!
Jaribuni 2025!
2020 utakuwa mwaka mgumu sana kwa upinzani!

ukisikia urojo ndo huu.kama mnajiamini mwaambieni huyo mwenyekiti wenu achie mikutano aliyokataza kwa uoga.mwezi mmoja aruhusu uone mtakavyobaki uchi
 
Hivi mnatumia kipimo gani?

Kwakuwa kila siku anaongea peke yake basi ndii mnaona anakubalika?

Jiulizeni kwanini hataki EL nae asimamame majukwaani.

Huu ni ujinga wa hali ya juu sana!!

Mkuu hawa magamba wanaujuwa moto wa el hat mwenyekiti anaujuwa vizuri.
 
Sasa chadema watasema nini tena😀😀😀

..Chadema watasema nini?

..waliomnyooshea bastola Nape na waliowatuma watasema nini?

..CCM watasema nini?

..Nape naye atasema nini?
 
Nashauri mteua watu au muunde kitengo kidogo maalumu cha kufuatilia kauli za Mkulu na kuzi-document kwa lengo la kuja kuzitumia mwaka wa 2020 wakati wa kampeni.

Ikifika 2020,yaandaliwe mabango maalumu yenye kauli tata za mkulu na yawe yanapamba mikutano yote ya wapinzani(UKAWA).

Kila bango liwe na maneno:

"Kwa kauli hizi, je, mtu huyu akipita katika uchaguzi huu itakuwaje?"

"Kwa usalama wetu tumkatae yeye na
wabunge wake pamoja na madiwani wake."

Mwacheni aendelee kujisahau 2020 inaanza kupiga jaramba.
Aisee pole sana tena ninakupa pole,kwa hiyo ndo itakuwa sera( mabango),Yaani hakuna kipindi kigumu kama cha uchaguzi mkuu wa 2020 kwa wapinzani tangia siasa za Tanzania na uchaguzi wa vyama vingi uliopoanza ,yaani wapinzani mna hali mbaya kuliko maelezo jipangeni kisaokolojia kushindwa kuliko kujipa matumaini ambayo hayapo halafu mseme mliibiwa KURA,!
Watanzania wanataka kazi na si kauli, mlivyovalia fulana za "malofa na wapumbavu katika ubora wenu " ziliwasaidia?

Imeshakula kwenu!
Jaribuni 2025!
2020 utakuwa mwaka mgumu sana kwa upinzani!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazingua dingi, sasa ulitaka cdm wafanyeje tena wakati unamesema wasisahau kuandaa mabango ya hayo uliyoorodhesha?
Una kichwa kigumu sana kuelewa kitu chepesi, nashukuru hujanielewa maana ungeanzisha debate isiyo na msingi!
 
Nashauri mteua watu au muunde kitengo kidogo maalumu cha kufuatilia kauli za Mkulu na kuzi-document kwa lengo la kuja kuzitumia mwaka wa 2020 wakati wa kampeni.

Ikifika 2020,yaandaliwe mabango maalumu yenye kauli tata za mkulu na yawe yanapamba mikutano yote ya wapinzani(UKAWA).

Kila bango liwe na maneno:

"Kwa kauli hizi, je, mtu huyu akipita katika uchaguzi huu itakuwaje?"

"Kwa usalama wetu tumkatae yeye na
wabunge wake pamoja na madiwani wake."

Mwacheni aendelee kujisahau 2020 inaanza kupiga jaramba.
Mtahangaika sana kipindi hiki mnahangaika na kauli badala ya yield ya performance.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri mteua watu au muunde kitengo kidogo maalumu cha kufuatilia kauli za Mkulu na kuzi-document kwa lengo la kuja kuzitumia mwaka wa 2020 wakati wa kampeni.

Ikifika 2020,yaandaliwe mabango maalumu yenye kauli tata za mkulu na yawe yanapamba mikutano yote ya wapinzani(UKAWA).

Kila bango liwe na maneno:

"Kwa kauli hizi, je, mtu huyu akipita katika uchaguzi huu itakuwaje?"

"Kwa usalama wetu tumkatae yeye na
wabunge wake pamoja na madiwani wake."

Mwacheni aendelee kujisahau 2020 inaanza kupiga jaramba.
Nashauri mteua watu au muunde kitengo kidogo maalumu cha kufuatilia kauli za Mkulu na kuzi-document kwa lengo la kuja kuzitumia mwaka wa 2020 wakati wa kampeni.

Ikifika 2020,yaandaliwe mabango maalumu yenye kauli tata za mkulu na yawe yanapamba mikutano yote ya wapinzani(UKAWA).

Kila bango liwe na maneno:

"Kwa kauli hizi, je, mtu huyu akipita katika uchaguzi huu itakuwaje?"

"Kwa usalama wetu tumkatae yeye na
wabunge wake pamoja na madiwani wake."

Mwacheni aendelee kujisahau 2020 inaanza kupiga jaramba.
This is what I always insist by saying, in this country ,we lack a strong opposition part with a well synthesized agenda, strategically implemented, and a strong clear focus, but instead, we have an illusion-oriented politics, poorly strategized, and with no clear focus. Nevertheless, an epicenter of all these problems is a leadership vacuum, with no clear vision. Additionally, being financially stable among the team members, does not guarantee that you could be a very skillful leader, and this is what is happening in our other side of a coin. Finally, lack of a clear focus, could lead to the political gambling strategies, and consequently you end up in a political trap, which jeopardize any political party identity, legitimacy and credibility. Salary slip, what is your agenda at the moment?
 
Back
Top Bottom