Ushauri kwa WANAWAKE mnaopanda na watoto kwenye daladala.

Ushauri kwa WANAWAKE mnaopanda na watoto kwenye daladala.

Njemba Soro.

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
4,281
Reaction score
7,476
Habari za wakati huu wana jf....

Nataka luwaeleza wanaopanda daladala wakiwa na watoto wadogo, UKIKOSA NAFASI YA KUKAA usikurupuke kuomba mtu akusaidie mtoto.

Kuna ugonjwa hatari sana unaitwa
TB na huambukizwa kwa njia ya hewa. Pia yapo magonjwa mengine mengi tu mwanao atayapata ubaki kulalamika bila kujua chanzo ni nini kumbe ni vile uliomba ubebewe mtoto na mtu asiyejulikana.
USILALAMIKE MWANAO AKIUGUA MAGONJWA YA AJABU KUMBE UVIVU WAKO NDILO TATIZO,

Ukiona mtu hajakupisha ukae ilhali una mtoto tambua huyo ni mgonjwa na anaenda hospitali.... SIYO KILA UNAYEKUTANA NAYE ANA AFYA NJEMA.


Nimeandika hivi baada ya jana kukutana na dada mmoja analalamika eti kuna mtu ana roho mbaya kashindwa kumbeba mwanae kwenye daladala. KAMA VIPI MNUNULIE MWANAO GARI.
 
Habari za wakati huu wana jf....

Nataka luwaeleza wanaopanda daladala wakiwa na watoto wadogo, UKIKOSA NAFASI YA KUKAA usikurupuke kuomba mtu akusaidie mtoto.

Kuna ugonjwa hatari sana unaitwa
TB na huambukizwa kwa njia ya hewa. Pia yapo magonjwa mengine mengi tu mwanao atayapata ubaki kulalamika bila kujua chanzo ni nini kumbe ni vile uliomba ubebewe mtoto na mtu asiyejulikana.
USILALAMIKE MWANAO AKIUGUA MAGONJWA YA AJABU KUMBE UVIVU WAKO NDILO TATIZO,

Ukiona mtu hajakupisha ukae ilhali una mtoto tambua huyo ni mgonjwa na anaenda hospitali.... SIYO KILA UNAYEKUTANA NAYE ANA AFYA NJEMA.


Nimeandika hivi baada ya jana kukutana na dada mmoja analalamika eti kuna mtu ana roho mbaya kashindwa kumbeba mwanae kwenye daladala. KAMA VIPI MNUNULIE MWANAO GARI.
Mzee naona unafanya jitihada za makusudi kutuumiza macho. Kwanini unatumia mwandiko wa vipofu?
 
kwa namna flan ni kweliii, pia kuna wazee wengne nao anamuona aliekaa ana mizigo kbsa(lets say kaipakata) lakin bd anataka apishwe kisa mzee.
 
Mtu unapambana upate siti kwenye daladala mpaka kulipa nauli mara mbili na kuzunguka na gari.Afu mtu kwa uvivu wake anakuja kukaa pembeni yako ili akushawishi umpishe kutokana na hali yake,inakera sana.
Mwingine unaona kabisa gari limejaa na kuna mengine yako wazi then unapanda afu unatia huruma watu wakupishe kisa mzee/mjamzito/mama mtoto inakera sana

Mi kuanzia sasa sitowapisha maana wazee/wamama wenyewe wa Dsm hata hawajiheshimu,chuki,matusi,roho mbaya yani daaah bora wazee wa mikoani.
 
Habari za wakati huu wana jf....

Nataka luwaeleza wanaopanda daladala wakiwa na watoto wadogo, UKIKOSA NAFASI YA KUKAA usikurupuke kuomba mtu akusaidie mtoto.

Kuna ugonjwa hatari sana unaitwa
TB na huambukizwa kwa njia ya hewa. Pia yapo magonjwa mengine mengi tu mwanao atayapata ubaki kulalamika bila kujua chanzo ni nini kumbe ni vile uliomba ubebewe mtoto na mtu asiyejulikana.
USILALAMIKE MWANAO AKIUGUA MAGONJWA YA AJABU KUMBE UVIVU WAKO NDILO TATIZO,

Ukiona mtu hajakupisha ukae ilhali una mtoto tambua huyo ni mgonjwa na anaenda hospitali.... SIYO KILA UNAYEKUTANA NAYE ANA AFYA NJEMA.


Nimeandika hivi baada ya jana kukutana na dada mmoja analalamika eti kuna mtu ana roho mbaya kashindwa kumbeba mwanae kwenye daladala. KAMA VIPI MNUNULIE MWANAO GARI.
bweke
 
Mtu unapambana upate siti kwenye daladala mpaka kulipa nauli mara mbili na kuzunguka na gari.Afu mtu kwa uvivu wake anakuja kukaa pembeni yako ili akushawishi umpishe kutokana na hali yake,inakera sana.
Mwingine unaona kabisa gari limejaa na kuna mengine yako wazi then unapanda afu unatia huruma watu wakupishe kisa mzee/mjamzito/mama mtoto inakera sana

Mi kuanzia sasa sitowapisha maana wazee/wamama wenyewe wa Dsm hata hawajiheshimu,chuki,matusi,roho mbaya yani daaah bora wazee wa mikoani.
Aisee hii ndiyo comment Bora ya mwezi huu....
Naunga mkono hoja yako
 
Unakuta mama kaona gari imejaa ndii na yeye anapanda na mtoto au watoto. Na wenye tabia hii ni wale walokole wanaotokaga kwenye miujiza. Unakuta ana watoto watatu ana mama ake mzee na mizigo anapanda daladala imejaa mpaka mlangoni.
 
Unakuta mama kaona gari imejaa ndii na yeye anapanda na mtoto au watoto. Na wenye tabia hii ni wale walokole wanaotokaga kwenye miujiza. Unakuta ana watoto watatu ana mama ake mzee na mizigo anapanda daladala imejaa mpaka mlangoni.
Nimecheka khaa eti wanaotoka kweny miujiza
 
Ukiona gari imejaa usipande subiri nyingine..tusitiane majaribuni...binafsi sipakati mtoto wa mtu hata kama siumwi
 
Mtu unapambana upate siti kwenye daladala mpaka kulipa nauli mara mbili na kuzunguka na gari.Afu mtu kwa uvivu wake anakuja kukaa pembeni yako ili akushawishi umpishe kutokana na hali yake,inakera sana.
Mwingine unaona kabisa gari limejaa na kuna mengine yako wazi then unapanda afu unatia huruma watu wakupishe kisa mzee/mjamzito/mama mtoto inakera sana

Mi kuanzia sasa sitowapisha maana wazee/wamama wenyewe wa Dsm hata hawajiheshimu,chuki,matusi,roho mbaya yani daaah bora wazee wa mikoani.


Mkuu kwenye wajawazito achana nako... Huwa wanapitia wakati mgumu mno. Kutusu wazee na wenye watoto nipo na wewe. Kuna binti nishamshuhudia akilalamika kabeba mtoto wa Jirani ili apate siti na kaikosa....
 
Nimbebe (nimpakate) mtoto wa mtu hapo nina kichaa. Akinifia je, kutokana na 'upepo mbaya', au mama yake akamtelekeza? Heri ukaitwa roho mbaya ukashuka salama, unaendelea na ratiba zako, kuliko kujifanya roho nzuri akaishia kituo cha polisi, rumande. Nasaha: vijana ukipenda kupakata pakata watoto zaa wa kwako, maana wa watu wa mambo yao!
 
Bora nyie huko Dar.
Sisi huku Mwanza, ni balaa. Kwanza nianze kwa kusema kuwa wasukuma wanapenda sana VITUMBUA. Sasa mtu kampa mwanae likitumbua anakula, mtoto kajipaka mafuta mafuta ya vitumbua mkononi, kajidondoshea vipande vya vitumbua, halafu mbaya zaidi hajamvalisha hata kitu cha kuzuia mkojo, hata kama hawezi kununua pampasi kuna vile vifuko vya plastic wanauza machinga, halafu bila haya anakuomba umbebee mwanae kwenye daladala
😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
 
Back
Top Bottom