Ushauri kwa wanaume

Ushauri kwa wanaume

miss chagga

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
57,805
Reaction score
49,104
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba

Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?

All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH

Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.

Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.
 
Haaa sijawahi chat na wewe nikiamini hauko interesting..now najiuliza if I was wrong.....Nakuja jiandae na habari za gdp na uchumi wa dunia..ole wako ulete story za wema na kajala

hapo tutaelewana sasa mwanaume unakuja kunilamba mikono huku ukiniambia i love u i hate that aisee
 
Inategemea huyo anaekutongoza ana nia gani na wewe,kama ni kwa kufurahia tu ya nini akwambie au muongelee future plans. Mwenye future plans na wewe atakupa future yake.

basi kama huna future acha kunidanganya i love i hate this this sometimes real hate
 
Hmm.. Pole misschagga kwa kukumbana na wanaume ambao hawako vizuri kwenye conversations. Nadhani wengi wao sio wafuatiliaji wa masuala mbalimbali ya jamií kama siasa, uchumi, elimu n.k. Ndio maana mkikutana hawezi kukupa stori mpya zaidi ya 'i love you' nyingi tu
 
hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?
Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

KWA HIZI TAKWIMU HATA USILALAMIKE miss chagga(NUMBERS DONT LIE)
Top Areas Of Posting

Mahusiano, mapenzi, urafiki -5,586
Love Connect -173
Ujasiriamali-10
Jukwaa La Biashara na Uchumi
-7

NDG Mheshimiwa Spika Nachelea kuunga mkono hoja...
 
Men are so clever, he looks directly unto your eyes, if he sees "chenga" don't expect him to talk sense!!..he will screw you and head on to search for a LADY!!

ooooh helll no so umekuja kunizuga au? basi usinitongoze yani huwa natamani kubeba meza kichwani ili kupunguza hasira... unakuta mtu wiki nzima ya kukufukuzia akija i love ooh umependeza..... hivi si unatongozwa sana? sasa mimi nikishaona hivyo nakupotezea..
 
Hmm.. Pole misschagga kwa kukumbana na wanaume ambao hawako vizuri kwenye conversations. Nadhani wengi wao sio wafuatiliaji wa masuala mbalimbali ya jamií kama siasa, uchumi, elimu n.k. Ndio maana mkikutana hawezi kukupa stori mpya zaidi ya 'i love you' nyingi tu

yani wanaboa kiasi kwamba loh.... be funny basi mtu hayupo charming lipo kama zigo tu
 
Mhhhh...leo naona ni wanaume day umu....kuna thread nyngne uko hatufanyi mazoez....hatufik round ngap cjuii...

Aya miss chaga nae anasema yake!...kwan kuna nn leo!!!...au leo ndo upepo mchafu umu...wakubwa tujuzeni!!
 
ooooh helll no so umekuja kunizuga au? basi usinitongoze yani huwa natamani kubeba meza kichwani ili kupunguza hasira... unakuta mtu wiki nzima ya kukufukuzia akija i love ooh umependeza..... hivi si unatongozwa sana? sasa mimi nikishaona hivyo nakupotezea..
Alivyosema Tyta eti ni kweli?
 
Last edited by a moderator:
Mhhhh...leo naona ni wanaume day umu....kuna thread nyngne uko hatufanyi mazoez....hatufik round ngap cjuii...

Aya miss chaga nae anasema yake!...kwan kuna nn leo!!!...au leo ndo upepo mchafu umu...wakubwa tujuzeni!!
Ngoja na mimi naanzisha ya kwangu..... nitainame Umevaaaje..... ts coming soon
 
Nawasalimu wote, mambo zenu, shikamoo wakubwa ila siwanyimi chochote unaruhusiwa kuomba

Nirudi kwenye mada jamani kaka zangu na rafiki zangu wa kiume kwenye swala la kumtongoza mwanamke mnaboa jamani kila ukija unaongela mambo ya mapenzi tu oooh i love you, oooh sijui unaumbo nzuri hivi jamani haya maneno yanachosha kila siku kuongelea hayo hayo.

Okey basi mwanamke najaribu kubadilisha mada hata tuongelee utamaduni wetu huna hoja unajiumauama kiuchumi ndo kabisa nakupoteza hivi niwaulize huwa mnafikiria nini kwenye akili zenu?

All over the way unafikiria kuniambia i love you mimi huwa unanichosha jamani lets talk about other issues nichekeshe, tuongeleee uchumi, okey basi be funny mtu anaishia kukwambia i love na kubusu busu mikono hivi ni nini lakini BE CREATIVE GUYS LOH TOOO MUCH

Unakuta mwanaumme unamuuliza what is your plan for future anaongelea vitu vya ajabu a wengine amna majibu yani mimi nachefuka moyo nikiona mwanume ajielewi natamani kutapika.

Basi wanaume jiongeze basi ongea love yes, hapo hapo ongelea uchumi, siasa na hata utamaduni ili nijue una upeo gani wa kufikiri loh, mpira usiongelee wala movie.

Ihope mtajiongeza kwa kweli, nawapenda wote.

Ofisini nitumie akili nyingi bado nikikutana na mpenzi nitumie tena akili nyingi na kuwa ongelea kina nape na kina zito. Acha bwana. kwenye suala la ucheshi nitakuunga mkono lakini mambo ya siasa na uchumi nikiwa na mpenzi wangu hapa kabisa.
 
Back
Top Bottom