Ushauri kwa wanaotaka kusoma PCB au CBG

Ushauri kwa wanaotaka kusoma PCB au CBG

hapo umenena mkuu aliye soma hzo comb atakuelewa ambae hajazisoma hatoelewa thread saf sana mkuu you think big
 
Ndoo hataaa mimii nilichowaambiaa wadauu kwelii nduguu six inasaidia sana
Kwa private sidhani maana mm nimemaliza c.o nikakaa two years nikaingia kusoma md na wamenambia wanahitahi GPA ya kwanzia 3.5 mm nina 4 nikawapa mkuu.
Kwa vyuo vya private havina shida labda serikali km muhas
 
Darasa langu la PCB Tabora Boys kati ya wanafunzi 59 ni wanne tu hawakwenda medical school lakini walipata kozi nyingine nzuri UDSM.

Wengi wao walienda MD (MUHAS,KCMC,ST FRANCIS,AJUCO, CUHAS na CUBA )

Wengine walienda Pharmacy (MUHAS na CUHAS)

Kuna mmoja alipata nursing midwifery akagoma kwenda akaenda kusoma kilimo na sasa yuko poa

My take:Ni kweli shule inasaidia kushape mind ya mwanafunzi..Shule kama hiyo kila mwanafunzi anajituma anapiga msuli wa kufa mtu si rahisi wewe ukazembea maana wenzio wote wanakaza.
FB_IMG_1561047050545.jpeg
FB_IMG_1561047123441.jpeg
FB_IMG_1561047135435.jpeg
 
Naweza mpinga mtoa mada, nikikumbuka darasa letu la Advance, somo kama hesabu kwenye mitihani ya shule waliokua na uwezo wa kufikisha 50 nadhani walikua wa 4 , Wasukuma 2, Mchaga Mmoja na mwingine Mmasai

Wengi walikua hawasomi kuangalia mitihani ya shule, ila mtihani wa mwisho habari ilikua nyingine kabisaa mpaka mwalimu wa hesabu haaminigi.

Ukisoma kufaulu mitihani ya ndani ya shule uwe vizuri kuendana na speed.
 
ni bonge la ushauri mkuu wakati mwingne advance inapoteza sana ndoto za wanafunzi nakumbuka kuna raafik yangu alikuwa pcb .tulipoingia form 6 akaanza kujiita dokta kabla hata hajafanya necta na kiukweli alikuwa anapenda sana hyo fani.baada ya kufanya paper akaamb ulia S' 4 na E moja
Kuna jamaa yeye kichwa chake toka O'level alikuwa na uwezo wa kusoma PCB kwenye mchepuo akachagua PCM kilichotokea alipata "S" zote kitu ambacho ni maumivu kabisa.Kwa kweli mara nyingi huwa najiuliza inakuwaje PCB au CBG matokeo huwa tofauti sana. Yaani MSULI Tembo matokeo KASISIMIZI.Ukijitahidi sana unakuta mtu kaambulia 'E' moja na 'S'
 
Kuna jamaa yeye kichwa chake toka O'level alikuwa na uwezo wa kusoma PCB kwenye mchepuo akachagua PCM kilichotokea alipata "S" zote kitu ambacho ni maumivu kabisa.Kwa kweli mara nyingi huwa najiuliza inakuwaje PCB au CBG matokeo huwa tofauti sana. Yaani MSULI Tembo matokeo KASISIMIZI.Ukijitahidi sana unakuta mtu kaambulia 'E' moja na 'S'
Shida huwa kwenye jinsi ya kujibu maswali
 
Back
Top Bottom